Recent content by jabulani

  1. J

    JamiiForums Tanzania Makalla: Heche na wenzake ni Watumishi hewa ndani ya CHADEMA, hawana tija!

    Kama chadema haishiriki uchaguzi unaitajataja ya nini.
  2. J

    JamiiForums Tanzania Watu wanasema Rais amechafukwa! Hebu acheni kuleta masihara, anataka tutimize haki zetu kupiga kura afanye mabadiliko ya kiuchaguzi hayupo serious

    Sikio la kufa halisikii dawa. kukamata wanaharakati wa nchi jirani bila kosa ni kutafuta vita na dunia. Lissu anatafuta mshikamano na dunia na ndie rais ajaye.
  3. J

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 CHAUMMA yapokea rasmi baadhi ya G55 walioondoka CHADEMA

    Duka limehamia Chauma
  4. J

    JamiiForums Tanzania Kwa hasira hizi na maelekezo haya tumekwisha

    Hawezi kuifunga mdomo afrika mashariki.
  5. J

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lissu: Ushauri wa Bure kwa Rais Samia, achana na hii kesi Haina maslahi yoyote kwako, CCM, wala nchi!

    Afrika mashariki inamtaka Tundu Lissu, Samia achague kuondoka kwa heri ccm ikapona au kwa shari ccm ikafa.
  6. J

    JamiiForums Tanzania Kenyan, why Tanzania, lissu, and not kiiza besgye of uganda?

    1. Lissu alipewa damu na wakenya ccm walipotaka kumuua, ni mwana afrika mashariki. 2. No Reforms No Election. Hii slogan inakubalika na wapenda haki afrika nzima.
  7. J

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa Kenya Babu Owino ataka Rais Samia apigwe marufuku ya kuingia Kenya kwa udhalilishaji

    wana ccm wote wasiruhusiwe kuingia kenya.
  8. J

    JamiiForums Tanzania Bora chadema ife tu

    ccm ndio imashakufa wamebakia viongozi tu wamezungukwa na mapolisi.
  9. J

    JamiiForums Tanzania Rais Samia hukubaliki kwa wananchi wa kawaida

    hata ndani ya ccm hakubaliki anatumia rushwa na udikteta, hata uchaguzi huru wa mwenyekiti wa mtaa hawezi kushinda.
  10. J

    JamiiForums Tanzania Kila nikitaka kujiandikisha daftari la wapiga kura, sauti ya 'ILI IWEJE' inanijia masikioni, nami najeuka speed kali kuendelea na mambo yangu binafsi

    Hata mimi sihangaiki. Samia anaua sana, bora magufuli alikuwa ana wafunga wapinzani na kuwaachia.
  11. J

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Rais Samia kuboresha taarifa zake awamu ya pili inamaanisha yeye mwenyewe haamini kama atatoboa?

    ili watu wauawe tena, hakutakuwa na uchaguzi ila uchafuzi na kukinukisha
  12. J

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Samia asitulazimishe uchaguzi wowote kama utakuwa wa haki basi tufanye mabadiliko kama hataki ni wazi uchaguzi ni wakitapeli

    Hata uchaguzi wa haki ndani ya ccm samia hashindi, sembuse wa watanzania. atahakikisha haki haitendeki anatangazwa yeye.
  13. J

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Dkt. Tulia akosoa maandamano ya CHADEMA Mbeya

    Atulie tu sasa mbeya imerudi kwa wenyewe, mikoa ya mipakani hawadanganyiki kasoro songea
Back
Top Bottom