Recent content by jabulani

  1. J

    Dkt. Tulia akosoa maandamano ya CHADEMA Mbeya

    Atulie tu sasa mbeya imerudi kwa wenyewe, mikoa ya mipakani hawadanganyiki kasoro songea
  2. J

    Rais Samia atua Namibia kumzika Hayati Dkt. Geingob

    Huyu ingekuwa miaka ya sabini angeambiwa baki huko huko viwanja vyote vya ndege vimefungwa
  3. J

    Dkt. Tulia akosoa maandamano ya CHADEMA Mbeya

    Chadema ikiwatumia watu usafiri magari ya mbeya nzima hayatatosha. Anyways kipimo cha uhai wa chama ni wingi wa watu barabarani. Madikteta wanaogopa sana nyomi kama la chadema, Likitokea la kutokea majeshi yanahamia upande wa watu. Ccm mpaka ikusanye wanafunzi au iwape watu nauli, ACT mpaka...
  4. J

    Uvamizi wa Maandamano ya Wananchi Mbeya, Kosa ni la Polisi au Biteko?

    Msafara ulitanguliwa na gari la polisi, wao ndio walikuwa wanamjaribu lissu
  5. J

    Biteko afuta likizo zote za Watumishi wa TANESCO

    Hajui la kufanya bila likizo hakuna ufanisi
  6. J

    Kiongozi wa umma kumiliki vitu vya anasa huku kundi la unaowatawala wakipitia dhiki haijengi taswira nzuri

    Mwenye hiyo saa watu wakisema hawana sukari wala umeme haamini wala haelewi anaona wanatania
  7. J

    Safari za Rais Samia nje ya nchi

    Mama wa ovyo sana huyo anaenda kuzulula anatatuacha tunakunywa uji mwepesi kama maji bila sukari
  8. J

    Nashauri Naibu Waziri Mkuu atenguliwe na nafasi hiyo ifutwe kwa maslahi ya Taifa

    Msafara wa biteko kwa siku unatosha kununua transfoma 3, hakuna cha maana anachofanya zaidi ya siasa, eti hajui mgao utaisha lini
  9. J

    Dkt. James Mataragio ateuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati

    Kwa serikali ya ccm hataweza kubadili chochote watamuingiza kwenye kupiga dili, hataki anatolewa
  10. J

    Kimsingi Tanzania haina Umeme

    Samia alisema katiba mpya isubiri ajenge uchumi , uchumi wenyewe ndio buu wa giza na uhaba wa bidhaa, dawa ni kuandamana kwenda ikulu atupe majibu
  11. J

    Dkt. James Mataragio ateuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati

    Ccm ovyo sana, mabwawa yamejaa, jua kali tunalo, gesi na makaa wanauza nje, wanaanza kutafuta umeme wa geothermal
  12. J

    Tatizo la umeme pekee linaweza kuiangusha serikali hii

    Hii ni muvi inachezwa mara mtasikia tanesco kapewa rostam au wajomba wa dp world.
  13. J

    Saa ya Rais Samia yadaiwa kuwa na thamani ya Tsh. Milioni 111,601,22/=

    Zimbabwe walikuwa na Gucci Grace, sie tumempata Bulgari Samia
Back
Top Bottom