NCHI HII NGUMU SANA KUONGOZA. UKISIKILIZA SANA WANANCHI SANA KUONGOZA INAKUWA NGUMU FANYA UNALOONA KUWA ZURI KWAKO KUONGOZA RAIS. MAANA UKITEUA TU WATU WANAANGALIA DINI GANI AWAMU YA TANO WALIKUWA WANAANGALIA MSUKUMA AU KANDA YA ZIWA SHIDA KWELI. TUANGALIA...
Ni wakati sasa kwa Rais kufanya ziara mikoani kujionea wananchi wanataka nini kipindi hiki maana asilimia 60 ya Watanzania wanapitia kipindi kigumu kutokana kila mtu sasa hivi amejiachia kwenye nafasi aliyowepa watanzania sio wakupewa uhuru sana tena kwenye uongozi lazima uwe na roho ya...
Mimi naona hizi taaluma zinaingiliwa chombo kama TBS, Mkemia mkuu ni vyombo imara sana. Kama inafikia vinapingwa kwa kweli itakuwa kuna maslahi pembeni ya watu. Napenda kutoa ushauri wangu wa vyombo vinavyohusika zaidi ni wakati sasa TRA nao kuwa na wataalam wa vipimo ili mwisho wa siku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.