Recent content by Jabari XVI

  1. Jabari XVI

    Msafara wa Samia wa Ma-Range mpya umeng'aa kama ilivyostahili kwa Mafisadi!

    Sidhani kama vifo hivi vinamuuma, tunaoumia ni wapigwa jua tuliofikwa na misiba. Yeye anasherekea na kupongezana na familia yake wakati sisi wengine tuna majeraha na majonzi pia
  2. Jabari XVI

    GE2025 Mo Ibrahim akosoa Uchaguzi wa Tanzania: Kwanini uue, kuteka na kufunga Watu kama unapendwa kiasi cha kupata 98% ya kura?

    Kwahiyo kwasababu Sudan wanauana ndiyo ashindwe hata kuishauri Tanzania yasitufike ya kama ya kwao Sudan!
  3. Jabari XVI

    Anyways waliambiwa wajikadirie !

    Jamani umeandika kitu kikubwa sana, tafadhari endelea kuamsha akili zilizolala
  4. Jabari XVI

    GE2025 Kawaida: Polepole ameamua kuichezesha familia, madai ya kutekwa ni kuishiwa mbinu za kuichafua dola

    Hivi Mkuu hakuna namna ya kufanya warogwe wote hawa na wafe kabisa 1. Afande mafwele 2. Rais 3. Mkuu wa usalama 4. Mkuu wa jeshi 5. Mtoto wa rais 6. Mstaafu
  5. Jabari XVI

    Kwanini Polepole hastahili kuonewa huruma wala kuungwa mkono kwa namna yoyote ile

    Kwahiyo ndiyo iwe sababu ya kumvamia na kumpiga na kumpeleka kusikojulikana?
  6. Jabari XVI

    Polepole ana watu na ana hoja, sijui CCM wafanyeje ili kumdhibiti?

    Wizi, ule mradi wa kutandika nguzo za zege umefika wapi mpaka sasa na utakamilika lini
  7. Jabari XVI

    Polepole, Sio kila blunder wakati wa utawala wa Magufuli wakalaumiwa mtandao; hii ni kufanya watu ni wajinga na vilaza

    Sawa uko sahihi lakini tunataka way forward kutoka hapa tulipo sasa ili nchi ikomboke.
  8. Jabari XVI

    Polepole ana watu na ana hoja, sijui CCM wafanyeje ili kumdhibiti?

    Nakupa mfano mdogo tu, na na-declare kwamba binafsi sikuwa mshabiki wa utawala wa Magufuli. Huku ninakoishi kuna shida sana ya umeme, lakini wakati wa Magufuli hali ilianza kuwa nzuri na mtu ulikuwa unaweza mambo yako bila wasiwasi. Baada ya kifo chake hali imekuwa worse
  9. Jabari XVI

    Polepole ana watu na ana hoja, sijui CCM wafanyeje ili kumdhibiti?

    Kwahiyo wewe unaona kila kitu sawa? Hongera mkuu
Back
Top Bottom