Ikumbukwe Mei mosi ilivyofanyika siku ya wafanyakazi mkoani Arusha, ambapo ilitangazwa Mgeni rasmi angekuwa Rais Samia, ila haikuwa hivyo na wala haikutangazwa wazi sababu za yeye kutokuhudhuria, ila baadae ilielezwa alikuwa nchi nyingine kutekeleza majukumu yake!
Kauli mbiu ya siku ile ilibeba...
Kufuatia kifo cha Mtanzania Joshua Mollel aliyeuwawa na kundi la Hamas, Baba yake mzazi amefunguka na kusema kuwa alifika eneo alilokuwa akiishi na mwanae ambapo alipata taarifa kuwa kundi la Hamas liliwavamia na kisha kuua wanajeshi watano, ambao walikuwa wakiishi eneo Moja na Joshua!
Ameeleza...
Wakati mwingine hayo matatizo mtu akiyasema, mbele ya jamii ama Kwa wa wale anaowaamini huishia pengine hishia kulaumiwa na kuonekana mkosaji, kupewa maneno ya dhihaka na kutokusaidiwa kabisa, ama kusaidiwa Kwa vijembe!!
So mtu anaamua kujikalia kimya tu Kwa sababu ya mapokeo kwenye jamii...
Hivi huo uuzaji wa viungo vya binadamu unaosema na unasemwasemwa ulishawahi kuuona na kuuthibitisha wapi?
Kwa akili zako unaamini kabisa ipo biashara ya kuuza viungo vya binadamu? Hivi viungo vinauzwa kwa ajili ya nini na wapi lilipo soko lake...?!
Itapendeza pia ukitoa mifano ama majina ya...
Sasa si bora huyo fisadi anayetoa visent kwa walala hoi... hao ambao si mafisadi wamewafanyia nini walala hoi?
Tufanye mfano pm Majliwa si fisadi, hadi sasa kawafanyia nini walala hoi??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.