Habari ....
Nakushauri kwanza ungeenda TCU ukarepoti then watakusaidia wao kuwasiliana na chuo husika lakini husije ukaanza kwenye mkwawa kwani watakupa maelezo mabaya nenda tcu mapema ujuwe umepangiwa wapi .
print taarifa zako za awali na uwasilishe tcu.
kipindi hiki ndio vijana wwtu wanachanganyikiwa wengine ndio wanaanza kuuza unga na madawa kuvuta.
Bodi za mkopo bhana hatar
Wazazi tunakazi ndio unawatoto wa 5 wanaenda wote shule za kulipia alafu unaongezewa wa chuo
Hapo ndio utajuwa dar kuna faida
Yaan hii inchi bhana sasa walivyotoa tangazo LA tar 15 wanafunzi waangalie account zao walikuwa wanamahanisha nini
Hapa ndio tunaamini Tanzania tupoo nyuma nyuma katika utendaji wa kazi mbalimbali .
Wanashindwa kufanya mahamuzi kwa usahihi kabisa ukiangalia hizi taasiisi zina shida nyingin...
Me nadhan atakuwa hakusoma mwongozo waliotoa TCU kwa kuangalia vyuo na course wanazochaguwa wanahitaj ufahulu upii maana kwenye zile form ukikosea imekura kwako arudie kusoma hule mwongozo na ufahulu wake huo course anazohitaj kusoma
Hila kama ndio umepata chuo round ya 3/4 usitegemeee kesho kama jina lakoo litakuwepo maaana nadhan special kwa round ya 1/2 bcoz TCU watakuwa wamepeleka majina bodi ya mkopo na kufanyiwa kazi nyie was round ya 3/4 mpaka sec
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.