Recent content by J Square

  1. J

    Kwanini Nyerere hakumkubali Lowassa?

    Hakuna sababu ya kumnukuu Nyerere kwenye kizazi ambacho hatuwezi kupata viongozi was kaliba yake.
  2. J

    Kwanini Nyerere hakumkubali Lowassa?

    Kile kizazi cha wazalendo wa Africa akina Nyerere kimeshapita. Kizazi kilichopo sasa ni cha wachumia tumbo, tutake tusitake. Sikubaliani na ufisadi unaofanywa na mtu yeyote, lakini wakati mwingine afadhali ya zimwi unalolijua kuliko usilolijua. Kwa kizazi cha sasa sitarajii kupata kiongozi...
  3. J

    vijana 60 wa vyuo vikuu mkoani Morogoro waikacha Chadema na kujiunga na CCM

    Kweli kabisa. Ukiipenda na kuishabikia ccm ukiwa kijana ukiwa Mtu mzima lazima uwe mchawi.
Back
Top Bottom