He he mpe tu ... Kuna watu hivyo ndivyo walivyoumbwa short tempered yawezekana kununa kwake kumekutokana na vitu flan alivyokutana navyo kabla ila ukimpa unakuwa kama umetibu stress zilizopelekea kununiwa ...na kumfanya aone alikununia for nothing na kujikuta anamake up to you .... Na kaupendo...
Hahaha hebu vuta picha ukimpaga vitu vyake anakuaje .....alaf baada ya hapo kumbuka kama kuna cku uliwahi kumpa akagoma ...
Ukiona kanuna mpe vitu vyake mkimaliza atakueleza atafunguka tu
Sometymz men are like that .... Kuna usemi mmoja upo kiumeni kuwa mwanaume haachi .... ' simba akikosa nyama hula nyasi' ... Ukiruhusu mawazo yako kuamini kirahisi hvyo ni sawa na kuamua kujishushia thaman yako...
Ataishia kukutumia wakati makoloni yake yameisha ...
Wake up my dear
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.