vip hauwez kusimama kwa miguu yako ukamlea mwanao , umeniudhi sana eti kulea mwenyew kaz sasa ni bora kuishi na mtu ambaye akupendi, Namshukuru mwenyez Mungu naeza kusimama mim kama mimi kwa sababu nmesoma nina kazi yang na kizur zaidi naplan kusoma masters lsiti ningekuwa ni wewe nisongeenda...
Acha umbea mwanaume nko kijenge ya chini tena nyuma ya soko kaks amna mtu aliyebakwa hyo juz na pia ukome kutuchafulia mtaa . eti kijenge bhang mshenz kweli we umeniboa mbaya eti kij
enge banf huon haya kuongea umbea mtoto wa kiume, kazi kwelikweli
mi ni mgeni lakin nina mpenzi wang wa kiume, tuko mikoa miwili tofauti nampenda sana na sijawai kuwaza kumsaliti lakin nimempigia simu usikuu huu kapokea bila kujijua nkawa namsikia anamwita mwanamke aliye naye karibu aje na kwa sasa kazima simu kabisa ila kumpenda nampenda lakin naogopa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.