Recent content by j.j

  1. J

    Kwanini wanaume viwembe/malaya (players) hupendwa na wanawake?

    but they will never be successful in life!
  2. J

    tafadhali soma hapa

    vip hauwez kusimama kwa miguu yako ukamlea mwanao , umeniudhi sana eti kulea mwenyew kaz sasa ni bora kuishi na mtu ambaye akupendi, Namshukuru mwenyez Mungu naeza kusimama mim kama mimi kwa sababu nmesoma nina kazi yang na kizur zaidi naplan kusoma masters lsiti ningekuwa ni wewe nisongeenda...
  3. J

    Mpenzi wangu anavuta bangi

    MAHOndwa, acha umbea mwanaume nko kijenge sa hv acha hizo, acha kuchafua mtaa kias kwamba tukipita sehemu tunuke ladha ya bhang, umeniudhi sana
  4. J

    Mpenzi wangu anavuta bangi

    Acha umbea mwanaume nko kijenge ya chini tena nyuma ya soko kaks amna mtu aliyebakwa hyo juz na pia ukome kutuchafulia mtaa . eti kijenge bhang mshenz kweli we umeniboa mbaya eti kij enge banf huon haya kuongea umbea mtoto wa kiume, kazi kwelikweli
  5. J

    Kwa kina dada wa JF bora lipi kati ya haya!

    A man with true luv is everything , bt its according 2 me"
  6. J

    Mambo yetu yalee

    Nenda Tembo hotel
  7. J

    naombeni ushauri

    im sorry bt not looking
  8. J

    naombeni ushauri

    hapatikani mpaka dakika hii
  9. J

    naombeni ushauri

    tumemaliza chuo last year ila tumebahatika kupata kazi mikoa tofauti
  10. J

    naombeni ushauri

    ni kweli na asante nmeamua ntakaa mwenyew sintokufa japokuwa inaumiza
  11. J

    naombeni ushauri

    nashukuru kwa ushauri wako
  12. J

    naombeni ushauri

    tumemaliza chuo last year. wote tunafanya kazi
  13. J

    naombeni ushauri

    mi ni mgeni lakin nina mpenzi wang wa kiume, tuko mikoa miwili tofauti nampenda sana na sijawai kuwaza kumsaliti lakin nimempigia simu usikuu huu kapokea bila kujijua nkawa namsikia anamwita mwanamke aliye naye karibu aje na kwa sasa kazima simu kabisa ila kumpenda nampenda lakin naogopa...
  14. J

    Kutongoza kizungu ni ngumu jamani...asikuambie mtu

    mi ni member mpya nielekezen jinsi ya kupost story en how to reply . nmejaribu bt nashindwa,
Back
Top Bottom