Nina freezer langu nalipenda mno juzi nimelitonoa kwa bahati mbaya naomba kuuliza kama kuna ujuzi wa kuziba kama kuna mtaalamu humu aje inbox sitaki kusukiwa pipe.
Duu nishapoa Mkuu.Ila sitasahau katika maisha yangu.Wala sijajua akina bakresa,azam na matajili wngine wamepataje utajili.
Business plan za kuwa milionea ndani ya miaka 5 tunazo,wadhamini wa Business wapo lakini wasimamizi wa biashara hatuna,watanzania wanawaza kuiba tu.
Babu umenikumbusha mbali sana mtoa uzi naandika haya nikiwa nalengwa na machozi.
Niliajili vijana wawili buchani kwangu ambalo lilikua linauza ng'ombe mzima (100kg) kwa siku na samaki kilo 20 kuku kilo 40.Vijana nilikua nawalipa 15,000 kila mmoja kwa siku na matumizi ya buchani kama umeme,maji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.