LEARN BEFORE YOU BET
LIGI NA MECHI ZILIZOWAHI KUKUMBWA NA KASHFA ZA UPANGAJI MATOKEO (MATCH FIXING)
Katika ulimwengu wa soka, Match Fixing ni tatizo la kweli linalotokea duniani kote. Haimaanishi kwamba kila mechi kwenye ligi hizi imepangwa, bali ni ligi ambazo ziliwahi kuwa na uchunguzi...
Sisi wafanyabiashara wadogo wadogo wa Manispaa ya Musoma tunatoa wito kwa Serikali, TAMISEMI na viongozi wa Manispaa kuingilia kati suala la ongezeko la ushuru wa kila siku kutoka Shilingi 200 hadi Shilingi 500 kwa wafanyabiashara wadogo kama wauza mboga za majani, karanga, mandazi na biashara...
Nilao ila tumejenga sisi zaidi ya vibanda mia Kwa pesa zetu Tena Kwa makubaliano stand inayojengwa ikikamilika itatakiwa turudi Kuwa wapangaji wao katika stand hiyo ya kisasa na kama mfanyabiashara atabaki huku ndiyo atapaswa kutozwa pesa , Tena pesa za wanachi masikini ambao Bado tunapambania...
Sisi wananchi na wafanyabiashara wa Stendi ya Muda ya Bweri, Manispaa ya Musoma, tunatoa wito kwa Serikali na mamlaka husika kusikiliza kilio chetu kuhusu agizo la kutakiwa kulipa shilingi 50,000 kwa kila kibanda ambacho tulijenga kwa fedha zetu wenyewe.
Mwaka 2025 tulihamishwa kutoka eneo letu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.