Recent content by Iyerdoy

  1. Iyerdoy

    JamiiForums Tanzania TETESI:Baadhi ya viongozi halmashauri ya Kilindi kuburuzwa mahakamani.

    Wewe ni Mwl. inakuwaje kimekupiga chenga? Ka hicho kimeweza kukupiga chenga, basi ujue hutoboi kwa H/W Kilindi. (kwa Utani lakini.)
  2. Iyerdoy

    JamiiForums Tanzania Kupata kwa mwezi kesho Jumapili Tanzania.

    Asante kwa Taarifa, ila ingependeza zaidi kama ungetuambia pia na athari zake (-ve au +ve) kama zipo au ni Taarifa tu just for funny.
  3. Iyerdoy

    JamiiForums Tanzania Kwa karipio hili la Misri ni dhahiri hali si shwari tena kwa Israel

    Ukizingatia kwamba hakuna mahali Israel imesema au kutangaza kwamba nafasi za wanaotaka kuingia kupigana vita naye zimejaa, basi hata Misri anaruhusiwa kujiunga - hakuna shida wanakaribishwa kwa hamu.
  4. Iyerdoy

    JamiiForums Tanzania Video: Ngumi kwenye karamu, kila mtu na wake, ndio maana wanaume tunakufa haraka

    Aliiandaa tangu jana yake ila tu bahati mbaya sheikh hakuwa na shabaha.:BLAPBLAP::BLAPBLAP:
  5. Iyerdoy

    JamiiForums Tanzania Video: Ngumi kwenye karamu, kila mtu na wake, ndio maana wanaume tunakufa haraka

    Imetokea wapi huko aisee?? Duh! Kila mshiriki anamtambua adui yake na anamfuatilia kumpa kisago. Very interesting. :SlavPls:
  6. Iyerdoy

    JamiiForums Tanzania Kwa kelele hizi, itakua kweli houthi wameshusha kisago Israel

    Naam! Kilio kitasikika sio muda mrefu kwamba "anaua wanawake na watoto na kubomoa miundombinu ya kiraia"- we subiri tu utasikia. Yule mwamba hapapasi bali anakung'uta haswa.
  7. Iyerdoy

    JamiiForums Tanzania Hizi ndizo silaha hatari ambazo Mchina kazionyesha kwenye gwaride lake! Wachambuzi mpo!

    Uko sahihi mkuu. Wamesubiri vita vitokee halafu wahanga wa vita waende kununua kwao lakini vita vimetokea ila wahanga wameenda kununua kwa wengine. Ndo mana imewabidi sasa wafanye promo kwa kutumia plastic toys. Wachina ni wajanja sana.
  8. Iyerdoy

    JamiiForums Tanzania Netanyahu atukana wenzake mtindo mmoja kisa ni Hamas

    Huyo anaijua Israel superficially. Inabidi apate muda ili aisome vizuri Israeli ndipo atajua nn maana ya simba wa Yuda.
  9. Iyerdoy

    JamiiForums Tanzania Hizi ndizo silaha hatari ambazo Mchina kazionyesha kwenye gwaride lake! Wachambuzi mpo!

    Plastic Toys hapo zimetumika kuamsha na kuvuta hisia za woga kwa USA, NATO na Taiwan.
  10. Iyerdoy

    JamiiForums Tanzania Hizi ndizo silaha hatari ambazo Mchina kazionyesha kwenye gwaride lake! Wachambuzi mpo!

    Mkuu, Marekani huwa ana Ubabe wa Kikakati sio Ubabe wa kijinga. Yale makampuni ya kutengeneza silaha za kivita yasipopata wateja (nchi zenye vita), Serikali itakosa fedha ya kujiendesha(maokoto)i.e. Kodi.
  11. Iyerdoy

    JamiiForums Tanzania Hizi ndizo silaha hatari ambazo Mchina kazionyesha kwenye gwaride lake! Wachambuzi mpo!

    Na yameundwa na mwanadamu.
  12. Iyerdoy

    JamiiForums Tanzania Jeshi La Israel, IDF,Sasa Hivi Latumia "Suicide Drones" Kuua Magaidi Wengi Wa Hamas Huko Gaza

    Hivi majibu yametoka au bado-bado?
Back
Top Bottom