Ukizingatia kwamba hakuna mahali Israel imesema au kutangaza kwamba nafasi za wanaotaka kuingia kupigana vita naye zimejaa, basi hata Misri anaruhusiwa kujiunga - hakuna shida wanakaribishwa kwa hamu.
Naam! Kilio kitasikika sio muda mrefu kwamba "anaua wanawake na watoto na kubomoa miundombinu ya kiraia"- we subiri tu utasikia. Yule mwamba hapapasi bali anakung'uta haswa.
Uko sahihi mkuu. Wamesubiri vita vitokee halafu wahanga wa vita waende kununua kwao lakini vita vimetokea ila wahanga wameenda kununua kwa wengine. Ndo mana imewabidi sasa wafanye promo kwa kutumia plastic toys. Wachina ni wajanja sana.
Mkuu, Marekani huwa ana Ubabe wa Kikakati sio Ubabe wa kijinga. Yale makampuni ya kutengeneza silaha za kivita yasipopata wateja (nchi zenye vita), Serikali itakosa fedha ya kujiendesha(maokoto)i.e. Kodi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.