Weweee! Waasi wa kabila la Quraysh (608) waliishambulia Mecca na huyo Allah alipotezea na tena 570gavana Abraha wa Yemen aliibomoa kaaba na Allah hakuwasaidia hao Wasaudi.
Mmm! Mbona mshahara wa dkt. anayeanza ni 1.5m. Bajaji akitulia kama ulivyo dokeza hapa; anauwezo wa kukusanya 60-70 elfu kwa siku. Kwa mantiki hiyo kwa mwezi wenye siku 30 ataweza kukusanya 1.8 -2.1m. Changamoto ya Bajaji ni "From hand to mouth activity".
Wanaharakati wanaingiaje hapo kwenye suala la kufunga magulio?
Ni sahihi lakini Utaratibu unaokubaliwa na wengi au wote. Kwani wafanya biashara wangeshirikishwa si wangelitoa mawazo yao au hata kupendekeza Utaratibu m'badala?
Sidhani kwamba ndo hivyo. Kwani Zanzibar hawatumii utaratibu stahiki i.e. huwa ni kiongozi anajiamulia tuu?
Mm nadhani kitendo cha kutowatumia vizuri Wataalam e.g. Wataalam wa Afya, Maendeleo ya Jamii n.k. ambao wanaufahamu wa the best Approach techinics ndipo inapotokea changamoto ya...
Hebu mpunguzie juisi na umpe maji zaidi au juisi ya kujitengenezea nyumbani.
Mfuatilie kwa ukaribu vitu anavyochezea-chezea au kushika-shika e.g. wadudu n.k.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.