Recent content by Iyerdoy

  1. Iyerdoy

    JamiiForums Tanzania Hivi ikitoe Samia akalifuta kanisa katoliki hapa tanzani kitatokea nini. Au ni kelele za muda mwisho mnalisahau

    Kwa nini tuandikie mate na ilhali wino upo?
  2. Iyerdoy

    JamiiForums Tanzania Hebu Kwanza: Hawa Saudi Arabia Vipi?

    Weweee! Waasi wa kabila la Quraysh (608) waliishambulia Mecca na huyo Allah alipotezea na tena 570gavana Abraha wa Yemen aliibomoa kaaba na Allah hakuwasaidia hao Wasaudi.
  3. Iyerdoy

    JamiiForums Tanzania Manispaa ya Moshi ni takataka kabisa 🚮

    Kweli naafiki.
  4. Iyerdoy

    JamiiForums Tanzania Manispaa ya Moshi ni takataka kabisa 🚮

    Hili nalo ni neno.
  5. Iyerdoy

    JamiiForums Tanzania Manispaa ya Moshi ni takataka kabisa 🚮

    Kampuni ya Kambaita ilikuwa maarufu sana kwa malori yake mengi na ujenzi
  6. Iyerdoy

    JamiiForums Tanzania Manispaa ya Moshi ni takataka kabisa 🚮

    Hivi MoCU sio University? pia kuna KCMC -University au nimechemka bwashee?
  7. Iyerdoy

    JamiiForums Tanzania Manispaa ya Moshi ni takataka kabisa 🚮

    Mmm! Mbona mshahara wa dkt. anayeanza ni 1.5m. Bajaji akitulia kama ulivyo dokeza hapa; anauwezo wa kukusanya 60-70 elfu kwa siku. Kwa mantiki hiyo kwa mwezi wenye siku 30 ataweza kukusanya 1.8 -2.1m. Changamoto ya Bajaji ni "From hand to mouth activity".
  8. Iyerdoy

    JamiiForums Tanzania Manispaa ya Moshi ni takataka kabisa 🚮

    Hiyo stendi iko wapi? Huu Uzi bila picha ni batili mangi.
  9. Iyerdoy

    JamiiForums Tanzania Minada ( magulio) imefungwa Mwanza, na bomoa bomoa haina tija

    Mkuu; Kwani kuwafungia maeneo wanakopatia riziki zao za kila siku ww umeona ni Haki yao na wanastahili kutendewa hivyo?
  10. Iyerdoy

    JamiiForums Tanzania Minada ( magulio) imefungwa Mwanza, na bomoa bomoa haina tija

    Wanaharakati wanaingiaje hapo kwenye suala la kufunga magulio? Ni sahihi lakini Utaratibu unaokubaliwa na wengi au wote. Kwani wafanya biashara wangeshirikishwa si wangelitoa mawazo yao au hata kupendekeza Utaratibu m'badala?
  11. Iyerdoy

    JamiiForums Tanzania Minada ( magulio) imefungwa Mwanza, na bomoa bomoa haina tija

    Mambo mengine wala sio maelekezo bali ni mtu binafsi eti amejiongeza.
  12. Iyerdoy

    JamiiForums Tanzania Minada ( magulio) imefungwa Mwanza, na bomoa bomoa haina tija

    Anapaswa akuombe radhi sio?
  13. Iyerdoy

    JamiiForums Tanzania Minada ( magulio) imefungwa Mwanza, na bomoa bomoa haina tija

    Kha! Mtamuua m'bibi wa watu. Hivi, atatoa maelekezo kwa mambo mangapi nchi yote hii? Yan hata kufunga magulio ni maelekezo kutoka kwake?
  14. Iyerdoy

    JamiiForums Tanzania Minada ( magulio) imefungwa Mwanza, na bomoa bomoa haina tija

    Sidhani kwamba ndo hivyo. Kwani Zanzibar hawatumii utaratibu stahiki i.e. huwa ni kiongozi anajiamulia tuu? Mm nadhani kitendo cha kutowatumia vizuri Wataalam e.g. Wataalam wa Afya, Maendeleo ya Jamii n.k. ambao wanaufahamu wa the best Approach techinics ndipo inapotokea changamoto ya...
  15. Iyerdoy

    JamiiForums Tanzania Mrejesho,mtoto wangu wakiume umri miaka 10 anakojoa mkojo uliochanganyikana na damu

    Hebu mpunguzie juisi na umpe maji zaidi au juisi ya kujitengenezea nyumbani. Mfuatilie kwa ukaribu vitu anavyochezea-chezea au kushika-shika e.g. wadudu n.k.
Back
Top Bottom