Hakuna cha kupoteza muda- muda upo siku zote na tutakufa na kuuacha ukiendelea.
Papa sio mtakatifu ila kazi yake anayoifanya/ofisi anayohudumu ndo Takatifu.
Samahani mkuu; wewe ni wa Imani ipi?
Kama ni wa Imani sawa na ya hao walioorodhesha mtakatifu Perpetua utuombee; basi ukijitahidi na wewe inawezekana siku za mbaleni kukaongezeka mtakatifu Monetary doctor utuombee. Kazana na wewe ili uwepo. Nafasi zipo tele haija jaa.
Hadi leo 2026; Hakuna aliyejiita mtakatifu ila watu ndo humuita mtakatifu na hiyo ni baada ya mtu huyo kufariki/kifo chake.
Wale wanaojiita watakatifu wakiwa bado wangali hai, ni watakatifu watarajiwa - hata ww unaweza kujiita mtakatifu hakuna shida.
Naam; Hata bikira Maria kwa kinywa chake alisema "Kwa kuwa amemwangalia kwa huruma mtumishi wake mnyenyekevu. Hivyo tangu sasa watu wote wataniita mwenye heri. (taz. Luka 1:46 - 55)
Kwa nini ulimhukumu hivyo ilhali unajua kwamba ww sio mwamuzi wa mtu kuwa mtakatifu?
Kumbuka Baba mtakatifu ni mtu kama walivyo watu wengine. Kurushiana matusi (Haujatuambia ni matusi gani) pengine maneno aliyojibizana na GENTA wala hayakuwa matusi. Ukizingatia kwamba binadamu yeyote akiudhika...
Ni kweli hawezi kuwa tena ombaomba kwa sababu muda wake wa kuomba ameshapita i.e. alipoteza muda mwingi mno kwenye harakati ya kuzisaka degrees ilhali umri nao umeenda na Fursa zilizokuwepo kipindi anasoma, vijana wamesha zichukua na sio kwamba eti hawezi kuwa ombaomba kwa hiari yake bali...
Yeah. Usomi wa kileo umegubikwa na matamanio ya kuwa "mtu mzito" mahali fulani badala ya kuwatumikia wanyonge, walalahoi na wale wasionacho.
Hii hali iliyopo ya kukosa ajira ni suala la muda tuu. Lakini wasomi wetu nao wakumbuke historia hujirudia. Hawa jamaa hawajui Azimio la Musoma la enzi...
Wataalam wabobezi katika changamoto tulizo nazo (Zinazotrend) hapa nchini kwetu tunao na tunaendelea kuRecruit wengine ili hatimaye wawepo watakaotosheleza mahitaji yetu.Kumbuka hata Rome haikujengwa kwa siku moja. Umesema nchi ina rasilimali ambazo hazina mfano -ni kweli: Lakini sio kweli...
Hatushindanii wala kumwonea gere yule atafutaye greener pastures bali tunawashangaa waliosoma vyuo vya nje ya nchi walalia-lia eti wanakumbana na changamoto mbalimbali wanaporudi hapa nchini. Tunawashangaa kwa sababu wao wanaona kana kwamba kwenda kusoma vyuo vya nje ni wamejijengea umaarufu na...
Brother; Usivibeze au kuvikandia vyuo vya hapa nchi na kusahau kwamba kuna Academical exchange programmes katika vyuo vingi(Kama sio vyote) ambapo walimu(Maprofs na Lectures ) hutembelea vyuo washiriki duniani (visiting profs.) na baadhi ya vyuo vikiwa ni kwenye nchi alizosifia na kutoa mafunzo...
Umesema: Acha watu wasome kila kitu, roho ya kwanini inakusaidia nini???
Je; akishamaliza kozi zooote halafu itakuwa nini? Sio hawa tunaowaona mtaani wakilia-lia hatuna ajira ilhali tumesoma na kufaulu? Kama sivyo basi hakuna Katazo wala Nywinywi. Mtu aage kazini, ajiondokee aende akasomeeeee...
Sio kwa mtazamo huo. Ni vyema ieleweke kwamba tangu awali Fani mtu anayochagua kuisomea huwa ina maelezo/ufafanuzi wa ni nini itakuwa HATMA ya kozi hiyo i.e. anaweza kuajiriwa kama nani katika utumishi wa Umma endapo atafaulu. Watu wa mtindo huo wa kubadili-badili fani ndo hao-hao mwishoni...
Mkuu; Samahani- Naona bado haujaweza kujibu swali langu. Labda nirudie tena: Je; Ingekuwa ni wewe ungeliwekaje?
Unapowasifia wengine kuhusu mambo ya kwao; ni Fursa ya wewe kuboresha kwako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.