Ni Tatizo la akili kuwa makalioni,maana mtu mwenye akili timamu hawezi kuandika ujinga huu,Kwani hao Al ahly wameshafungwa na Simba mara 3 huyo aina ya Mchezaji wako alikuwa anaichezea Simba?
Wakati Uchaguzi wa Viongozi wa Chama cha MPIRA MKOA wa Arusha ukikaribia Uongozi wa Arfa uliopo madarakani chini ya Mwenyekiti Mjema umeanza kucheza Rafu kwa kupanga safu za Viongozi wa Vyama vya Soka Wilaya (District Football Associatons) kinyume Cha Sheria, Kanuni na Taratibu za Chguzi za TFF...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.