Yoyote anaweza kukusaliti ama kuwa msaada kwako enenda na nyakati. Tunahitaji wote adui na wema. Fikiria Kila kitu kingekuwa sawa bila changamoto maisha yasingekuwa na maaana.
Negro bashe yupo sahihi kabisaaa, infwacti tumekuwa waungwana saana kwa wanakusini tangu zama tukidhani ni ndugu zetu kwa Kila nyanja... Wakitubepari nasi tutawabeberusha. Niamini nafanya biashara na nchi hizi
Watu wanapigana masumbumbwi ( ndondi) ili tu wapate kipato, wengine wanavuja jasho wakikata mauno kunengua majuakwaani kumudu gharama za maisha Nini ukahaba watu wanafisadi, wanaiba, wanaaaaaa muhimu kuchora mstari wako kwa maslahi yako.....
Shida ni kutotumia taalauma yake au kutoajiriwa? Vipi Kama huko Kuna kipato zaidi?? Vipi madakitari wasomi wanapokuwa wanasiasa je wanatafuta malisho zaidi??
Ibada ya hija na kutoa sadaka inapendeza zaidi pale unapogharamika kwa ajili ya mungu wako, naambiwa wasio na uwezo mungu anawasamehe wasipofanikiwa kuhiji..
Kila mtu Kuna vile anavyopitishwa katika mapito yake, mbaya zaidi Ni kubeba mbegu za mapito na kusonga nazo hapo utazalisha majuto kila uchwao.... Pengine baada ya muda utajiuliza kweli Mimi niliandika andiko hili??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.