Recent content by itearz

  1. itearz

    Kipi unafanya ili kujituliza wakati unapitia magumu?

    Kama maeneo yanaruhusu, tumia muda wako kufanya mazoezi asubui, kimbia au tembea, hii inakupa muda mzuri sana wa kuwaza na kuchambua mambo, dont stay idle. Kama uliweza kupata mwanzo basi utapata tu tena, kupoteza ndio changamoto za kukomaza ili usirudie makosa
  2. itearz

    Je, Matumizi ya kila siku ya Fridge, Blender, Pasi, Jiko la umeme n.k naweza vuka units 75 kwa mwezi?

    Mku Mkuu, bado unatumia tarrif 4? Hivi kiwango cha mwisho kununua ndio 9150? Maana sasa na haya makato ya ardhi unit zimeshuka mno.
  3. itearz

    Umeme wa Zero tarrif Bado upo, wavuja Jasho changamkieni fursa

    U Ulikuaga unanunua wa tsh ngp mkuu, na unapata units ngp?
  4. itearz

    Umeme wa Zero tarrif Bado upo, wavuja Jasho changamkieni fursa

    Walifuta kweli, Kuna kipindi kweli walizifuta zote, ila walisema ilikua ni makosa, kwaio ikawa ukienda ofisini wanakurudisha. Masharti ulifatisha? Miezi mitatu ya nyuma mfululizo hukuzidi unit 75? Hiki ndio kigezo chao kikuu
  5. itearz

    Umeme wa Zero tarrif Bado upo, wavuja Jasho changamkieni fursa

    Town, sema huduma iliungwa kitambo sana.
  6. itearz

    Umeme wa Zero tarrif Bado upo, wavuja Jasho changamkieni fursa

    Kaka, hii mada ya mda but am interested. Hivi malipo ni 9950 au 9150? Mwanzo nilikua najua ni 9500, then kuna mtu akaja niambia ni 9150, so kwa muda sana sasa nalipa 9150, ukiplus na haya makato unit zinazidi tu kushuka! Now napata 62 mostly! Kimtazamo ni bora hii 1500 wangeiongezea juu yake...
  7. itearz

    Sindano ya nusu kaputi hufanyaje kazi kwenye mwili wa binadamu?

    Wengi wanalalaga mazima mzee! Nlishuhudia case mbili za ivyo.
  8. itearz

    Kwanini mpaka sasa sipati ukimwi?

    Fafanua hapa mkuu! Km hamna iwaje wngn waupate? Au ile inakua ni nn?
  9. itearz

    Nimeandikiwa sindano baada ya kugundulika nina UTI kali

    Hahaha binaadam si tumeumbiwa kusahau! Wiki tu utaloweka tena.
  10. itearz

    Toyota Landcruiser VX V8 nyeupe namba T 575 DLB

    Ni binaadam pia, baba wa familia, ndugu wa watu, kuna watu wanawaangalia ivyo na sio boda boda. Uangalifu sometime ni stress tu japo sometimes wngn ni huĺka tu.
  11. itearz

    Tatizo la Gonjwa la Sukari (Diabets Mellitis): Fahamu chanzo, aina na ushauri wa tiba ya tatizo hili

    Kuna zile dawa za kienyeji za cku 3, alishawahi jaribu na izo? My frend aliumwa and ilikua yaendea stage mbaya, alitumia. Na kufata masharti ya msosi now is well, anafanya vyote, na kula kila kitu. Tho yeye alkua hajafikia hatua ya vidonda.
Back
Top Bottom