Recent content by Itapirai

  1. I

    Rais Magufuli amteua Balozi John William Kijazi kuwa Katibu Mkuu Kiongozi

    Rais Magufuli amefanya mabadiko madogo kwa kumteua Balozi Kijazi aliyekuwa balozi India kuwa Katibu Mkuu Kiongozi mpya nafasi iliyokuwa ikishikiliwa na Balozi Ombeni Sefue, inasemekana Ombeni Sefue atapangiwa kazi nyingine. Mwanzoni niliweka post hii moderator kafuta, nimerudia tena. Source...
  2. I

    Rais Magufuli amteua Balozi John William Kijazi kuwa Katibu Mkuu Kiongozi

    Taarifa za uhakika nilizozipata na za uhakika ni kuwa Rais Magufuli kafanya mabadiliko madogo ambapo amemtumbua Balozi Ombeni kuwa atampangia kazi nyingine na nafasi yake sasa atachukua Balozi Eng. Kijazi aliyekuwa balozi India. Maswali, au ni kashfa zinazozagaa zikimuhusu Ombeni au haendani na...
  3. I

    Dkt. Magufuli aongoza wananchi kwenye majaribio ya uzinduzi wa kivuko cha MV Dar es Salaam

    Mkuu hii Habari ya 10 percent bila ushahidi huwa inakosa maana , inatakiwa iwe kama anavyokamatwa Chenge hapo inakuwa pouwa!
  4. I

    Dkt. Magufuli aongoza wananchi kwenye majaribio ya uzinduzi wa kivuko cha MV Dar es Salaam

    Hawa ni wa kuachana nao kwa kuwa wapo addicted always ku-oppose !
  5. I

    Dkt. Magufuli aongoza wananchi kwenye majaribio ya uzinduzi wa kivuko cha MV Dar es Salaam

    usinitukane lakini, naomba nikupe elimu ndogo tu, Serikali husaidia Wananchi wake hata kwa gharama yeyote ile mfano kivuko kiwe kinapata hasara au la - haijalishi ( social benefit to the public) na mfano mwingine ni pale Kenya kuna Kivuko Mombasa kinavusha watu bureeeee, lengo ni kama...
  6. I

    Dkt. Magufuli aongoza wananchi kwenye majaribio ya uzinduzi wa kivuko cha MV Dar es Salaam

    Kwa asiyejua misemo anaweza asikuelewe vyema!
  7. I

    Dkt. Magufuli aongoza wananchi kwenye majaribio ya uzinduzi wa kivuko cha MV Dar es Salaam

    Leo Dkt.Magufuli amewaongoza wananchi wa Dsm kwenye majaribio ya uzinduzi wa Kivuko kipya Cha MV DAR ES SALAAM kitakachofanya safari zake kati ya Dsm na Bagamoyo, ambapo mamia ya wananchi wakiongozwa na Waziri Magufuli wamesafiri bure kutoka Dsm kwenda Bagamoyo na kurudi. Kivuko hicho...
  8. I

    Edward Lowassa: Mwanasiasa, mchapakazi, mfanyabiashara anayetabasamu!

    Hivi mnamjua Jembe nyinyi? https://m.youtube.com/watch?v=5SOm4YS-T3k
  9. I

    Magufuli hafai kuwa Rais: Siyo msafi na hajawahi kuwa msafi

    Unatumika vibaya, Magufuli ni Waziri pekee aliyekaa Wizara ya Ujenzi miaka kumi na Sita. Angekuwa na mkono mrefu hiyo Wizara siku nyingi angekuwa hayupo kwa kashfa, kwanza ni Wizara yenye vishawishi vya kila aina. Ni Waziri pekee mwenye recodi ya utendaji kwa miaka 20 sasa. Huyu amekomaa...
  10. I

    Magufuli hafai kuwa Rais: Siyo msafi na hajawahi kuwa msafi

    unatumika vibaya, Magufuli ni Waziri pekee aliyekaa Wizara ya Ujenzi miaka kumi na Sita. Angekuwa na mkono mrefu hiyo Wizara siku nyingi angekuwa hayupo kwa kashfa, kwanza ni Wizara yenye vishawishi vya kila aina. Ni Waziri pekee mwenye recodi ya utendaji kwa miaka 20 sasa. Huyu amekomaa...
  11. I

    Magufuli hafai kuwa Rais: Siyo msafi na hajawahi kuwa msafi

    Ubinafisishaji ulipofanyika wewe ulikuwa wapi??? Hata ikiwa , unatakiwa ujue nyumba hizo hazikuhusika kuuzwa, mfano za NHC.
  12. I

    Magufuli hafai kuwa Rais: Siyo msafi na hajawahi kuwa msafi

    lowassa mwenyewe anamuogopa Magufuli: https://m.youtube.com/watch?v=ulHLqsc2vBA
  13. I

    Chato: Mtoto Yohana Bahati (Albino) atekwa, akatwa viungo vya mwili, Azikwa kwa ulinzi mkali

    Waziri wa Ujenzi ambaye pia ni Mbunge wa Chato Dkt. John Pombe Magufuli amelaani vikali tukio la kikatili la kutekwa na kuuawa kwa mtoto Yohana Bahati pamoja na kujeruhiwa vibaya kwa mama mzazi wa marehemu na watu wasiofahamika. Akizungumza kwa masikitiko makubwa jijini Dar es Salaam...
Back
Top Bottom