Recent content by Italange

  1. I

    Dr. Slaa atakuwa adui namba 4 kati ya maadui wa 3 wa Mwl Nyerere

    Mimi majibu ya Lowasa kuhusu tuhuma zake za ufisadi popote anapozisema nakua sipati majibu mazuri na kumwelewa,dr slaa hakutoka ccm na kashifa kama za Lowasa,mimi kwa mtazamo wangu nahisi mzee hajaridhika na majibu ya mwanachama mpya Edward ndo akamua bora apumzike.
  2. I

    Kwa Wahanga Wote Wa Mikopo, CALL FOR MAANDAMANO BUNGENI DODOMA OCTOBER29

    wanachotakiwa kujibu hawa jamaa wa helsb ile bilioni 325 imetumikaje kwa idadi ndogo ya watu waliopewa mikopo kinyume na hotuba ya bungeni,swala la majina sidhani kama ni tatizo.
  3. I

    Ushoga Makongo Sekondari

    Patron gani huyo kaja na tabia mbaya hapo?
  4. I

    Nalia na bodi ya mikopo[heslb]

    Huu ni unyanyasaji wa kutosha kabisa kwa sababu watoto wao wanapata mikopo wakati wanauwezo mkubwa kabisa wa kujisomesha,
  5. I

    Bodi ya mikopo ya elimu ya juu na rushwa zake

    Na cha kushangaza kuna watu wamemaliza form four 2005,na diploma 2011,bado familia zao ni tajiri na zinafahamika,sielewi hawa jamaa wanatumia vigezo gani aiseh!
Back
Top Bottom