Habari wana JF. Kuna bidhaa nataka ninunue AMAZON ila bado sijaelewa kwa uzuri kuhusu import fees. Kama kuna mdau alishawai kuagiza bidhaa kutoka Amazoni naomba ufafanuzi zaidi.
Sio lazima uwe na $1000, ata $100 unaanza biz. Sema changamoto ni faida ndogo sana labda uwe unajua kitu kinaitwa ARBITRAGE TRADING ndio utapata faida kubwa. Ikiangalia bei ya kununua na kuuza zinafanana sasa faida unapata wapi mkuu labda uwe na lain za uwakala ulipe commission mwisho wa mwezi...
Tengeneza status saver na weka matangazo ya ADMOB / MAN, then tafuta traffic SA/Brazil. Umemaliza mchezo bongo hakuna pesa man. Kama developer utakuwa umenielewa.
Hapo chini app ya status yenye matangazo ya Meta Audience Network(MAN).
Kama ni una tafuta traffic ya bongo umefel tayari. Ungetengeneza app ya status saver then uka tafuta traffic SA/Brazil hiyo 500k kwa wiki inarudi chapu tu.
Tarehe kama ya 15 Mei 1916, katika anga za kibiashara nchini Marekani, kampuni ya ndege ya Boeing ilizaliwa chini ya uongozi mahiri wa mwanzilishi wake, William Boeing. Ikiwa na lengo la kutoa ndege bora na zenye ufanisi, Boeing ilipata mafanikio makubwa katika miaka iliyofuata.
Mafanikio hayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.