kuwa na uraia pacha kutasaidia kuweza kuwarudisha watz wengi ambao wapo ughaibuni na waliweza kuukana uraia kwa sababu za kiuchumi,ajira na kimichezo kuweza kujisajili upya na nchi asilia yao.. mimi naona tatanufaika nayo sana iyo
Maccm bhana yameshakata umeme tayari....aaaaaggghhhh hii nchi bhana au kwa kua mh prof Lipumba anatema cheche,haya ndgu zangu mlioko kene maeneo yenye umeme mtujuze kinachoendelea:(:eek::eek::eek:
Hayo yote yanafanywa na makada/maccm kwa huhofia nguvu ya chadema especially Dk Slaa..but wakae wakijua jimbo la kalenga c lao tena,huyo mwengereza waliempandikiza hapo haezi chukua jimbo kwani hata wanakalenga wenyewe wanajua mchezo mzimz ambao ccm wameufanya kuanzia kwa bba mpaka mtto kuwekwa...
Wajumbe na wabunge wa ccm wanaogopa kura ya siri kwa kuwa miongoni mwao wapo ambao haeakubaliani na msimamo wa chama chao,so wanaona njia sahihi ya kuepuka usaliti baina yao.... NB Duniani kote katika demokrasia kura huwa ya siri na matokeo huwa ya wazi....hivyo Yaan:cool:
Usishangae mkuu watu kama akina sixtus mapunda wako wengi ndani ya bunge hili la katiba,,,,wanatumika na akili za kushikiwa na ushabiki wa kichama....lol
Ndio maana wameamua nakuiingiza sheria ya kutokuhusiha kamati kuu ya jaji warioba kutowhiriki kwenye bunge la katiba ili wafanye hayo madudu yao....ccm bhana!!!!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.