BUNGE LA KATIBA: Yanayojiri leo tarehe 27/02/2014

hivi wewe huu uwazi wa ccm umeanza lini?, uwazi huu ulitakiwa kuanzia kwenye mikataba mibovu, kashifa ya EPA na kufichwa kwa balali, kashifa ya richmond, watu wanaohusika na kukata kucha za watu, wizi wa fedha za umma n.k., usikurupuke na kufikiri wananchi hatukumbuki haya yote, tunayajua na tunajua siku moja lazima yapate majibu. harafu wewe hujui kitu kaa utulie, angalia na ujifunze. lengo la ccm ni kutaka kuwadhibiti wale wote walioteuliwa na ccm ikiwemo wabunge wake ili watekeleze matakwa ya ccm na sio matakwa ya watanzania. kama unakumbuka vizuri tuliambiwa kuwa wale wote waliokuwa wanarudisha fedha za EPA wangekamatwa baada ya kurudisha, wako wapi?. hii ndiyo serikali pekee duniani ambayo mwizi anaombwa na kubembelezwa arudishe fedha za umma na kusamehewa.
 
Hakuna link yoyote tunayoweza kusikiliza bunge la katiba online? Kama yupo mwenye link kama hiyo nisaidieni tafadhari
 
kwa kuwa watanzania tumekuwa tukiishi kwa amani na upendo, jambo ambalo limekoleza thamani ya udugu wetu, umefika wakati tuionyeshe dunia kuwa hatuogopani wala kutishana tunapotakiwa kupiga kura kuamua mustakabali wa jambo letu kubwa na nyeti kabisa.

kama bunge la katiba linakusudia kutumia mfumo huu wa kupiga kura ya wazi, kwa nini wananchi nasi tusipewe fursa kama hii kwa jambo hilihili la katiba.

pinga kwa hoja, unga mkono kwa hoja pia.
Kwa nini uchaguzi mkuu tunapiga kura za siri... WHY..??? Kwa unadhani kura ya mtu ijulikane na mtu mwingine..??? What value does it add..??
Kura ya siri ni nzuri kwa sababu it ensures that all votes zinapigwa kwa siri, so that the voter is not influenced by any other individual, and at the time of voting no one else knows who the voter chose.

Kuna wengine wanapopiga kura, wanaogopa sana kwenda kinyume na matakwa ya kundi analotoka huku wengine wakimuona


 
Ameongea very brief but with strongest arguments, Nime appriciate sana mchango wake.
 
Hivi hawa wabunge wa ccm wanaopiga vigelegele ndani ya bunge ni ushamba au ndo ushabiki wenyewe?shame on them!

Peleka wivu wako hukooo


Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨
 
Sheikh Kundecha anaunguruma kwa ustaarabu uleule wa Kasisi Mtikila....approach yake is the best ever ndani ya jengo hili, sijui huyu kijana mwenzangu Sixtus Mapunda aliyepayuka kama chizi anajisikiaje.....?

Vijana tunatumika vibaya sana na hizi political affiliations. ....

Tuna tatizo kubwa kuliko tunavyodhania
 
Kwa nini uchaguzi mkuu tunapiga kura za siri... WHY..??? Kwa unadhani kura ya mtu ijulikane na mtu mwingine..??? What value does it add..??
Kura ya siri ni nzuri kwa sababu it ensures that all votes zinapigwa kwa siri, so that the voter is not influenced by any other individual, and at the time of voting no one else knows who the voter chose.

Kuna wengine wanapopiga kura, wanaogopa sana kwenda kinyume na matakwa ya kundi analotoka huku wengine wakimuona



Mkuu nimetumia "if no" "if yes" kwa kuakisi mjadala uliopo kwenye bunge la katiba.

ccm wanataka mule ndani kura iwe ya wazi, na huku nje tunaitaka hiyo yaani kwenye chaguzi zote tupange foleni unaonaje mkuu.
 
Sheikh Kundecha anaunguruma kwa ustaarabu uleule wa Kasisi Mtikila....approach yake is the best ever ndani ya jengo hili, sijui huyu kijana mwenzangu Sixtus Mapunda aliyepayuka kama chizi anajisikiaje.....?

Vijana tunatumika vibaya sana na hizi political affiliations. ....

Tuna tatizo kubwa kuliko tunavyodhania

Usishangae mkuu watu kama akina sixtus mapunda wako wengi ndani ya bunge hili la katiba,,,,wanatumika na akili za kushikiwa na ushabiki wa kichama....lol
 
Back
Top Bottom