Recent content by issac77

  1. issac77

    JamiiForums Tanzania Pesa inaweza kuja kwenye maisha yako bila kutarajia

    Duh nimejifunza jambo jipya leo
  2. issac77

    JamiiForums Tanzania Watu wote mnaomuamini Mungu mje, nina swali kwenu 😢

    Wale jamaa waajemi wanasema kufia vitani ni suna yani kulipuliwa wakiwa wanaipigania nchi yao ni peponi Moja kwa Moja... Unaona mpaka sasa wanavyomsumbua Mr orange, hawana hofu ya kifo wao kifo kwao ni sherehe😄
  3. issac77

    JamiiForums Tanzania Watu wote mnaomuamini Mungu mje, nina swali kwenu 😢

    Kufa ni lazima mkuu, kama ambavyo Kila siku viumbe vipya vinazaliwa na kufa hivyo hivyo. Hizi dini zimetufunga kwenye hofu kuhusu kifo. Mim binafsi naamini kifo ni kizuri na ni haki ya Kila kiumbe hai kufa kuachia nafasi ya kiumbe hai kingine kuzaliwa. Najiuliza na kuona tangu nimepata akili ya...
  4. issac77

    JamiiForums Tanzania Watu wote mnaomuamini Mungu mje, nina swali kwenu 😢

    Tupe nondo mkuu,
  5. issac77

    JamiiForums Tanzania Ningejifunza haya kabla ya kufika 30

    No 4 uhakika
  6. issac77

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hatimaye nipo kazini. Shukrani kwa WanaJamiiforums kwa mawazo na ushauri wenu

    Hongera bhn shem wng
  7. issac77

    JamiiForums Tanzania By Any-means, usimuambie ChatGPT “Roast Me”!

  8. issac77

    JamiiForums Tanzania New Toyota IST for sale 20m/-

    20mil??!
  9. issac77

    JamiiForums Tanzania Wakuu, nazeeka vibaya

    Wanaume huwa tunateseka sana pale nguvu zimepungua hili liwe somo tosha kwa vijana kujiwekea akiba ni muhimu sana, uzeeni watoto wetu wanna base sana kwa mama yao ww unabaki na upweke wako hata mkeo hatokujali, kukuzingatia wala kukusikiliza kama sasa
  10. issac77

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania SItokaa nitembee na wanawake hovyo

    Utaishije ss na kuoa ndio hamtaki
  11. issac77

    JamiiForums Tanzania Ukiwa bado unajitafuta,yakupasa ukae mbali na waliofanikiwa

    idhibiti nyeto pia
  12. issac77

    JamiiForums Tanzania Ukiwa bado unajitafuta,yakupasa ukae mbali na waliofanikiwa

    Shida mnaendekeza uzinzi hapo lazima bahati upishane nazo
  13. issac77

    JamiiForums Tanzania How are you feeling? Unajisikiaje? 😐 - karibu tuzogoe!

    Kwenye mihongo yenye tomato sauce na mirinda mbili
  14. issac77

    JamiiForums Tanzania Ukiwa bado unajitafuta,yakupasa ukae mbali na waliofanikiwa

    Utqjiri ni Nini mkuu
Back
Top Bottom