Wale jamaa waajemi wanasema kufia vitani ni suna yani kulipuliwa wakiwa wanaipigania nchi yao ni peponi Moja kwa Moja... Unaona mpaka sasa wanavyomsumbua Mr orange, hawana hofu ya kifo wao kifo kwao ni sherehe😄
Kufa ni lazima mkuu, kama ambavyo Kila siku viumbe vipya vinazaliwa na kufa hivyo hivyo. Hizi dini zimetufunga kwenye hofu kuhusu kifo. Mim binafsi naamini kifo ni kizuri na ni haki ya Kila kiumbe hai kufa kuachia nafasi ya kiumbe hai kingine kuzaliwa. Najiuliza na kuona tangu nimepata akili ya...
Wanaume huwa tunateseka sana pale nguvu zimepungua hili liwe somo tosha kwa vijana kujiwekea akiba ni muhimu sana, uzeeni watoto wetu wanna base sana kwa mama yao ww unabaki na upweke wako hata mkeo hatokujali, kukuzingatia wala kukusikiliza kama sasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.