Sahihi mkuu! Ukimfatisha mnuno tayari umeshaingia kwenye mfumo wake na atakae athilika zaidi ni ww maana hata focus Yako kudeal na michongo Yako itakuwa chini utajikuta daily unawaza maujinga ujinga ya home
Inategemeana anakuchukuliaje aisee, kama ndani ni 50/50 hapo penyewe atakupelekesha anavyotaka yeye maana jeuri anayo kama ni pesa anajua kuitafuta utamwambia nini
Aisee mimi nilishamuachisha kazi kwa upuuzi huo wa kununa na kuondoka kimya kmya bila kuaga nikamwambia stop huwezi ondoka kwenye himaya yangu bila kuaga,. Pia kipindi Cha mwanzoni tumeoana ndio tunamtoto mmoja na ni mama wa nyumban aliwahi Fanya hivyo akinuna anachomoka bila kuaga nilichofanya...
Kwangu naona athali hamna maana nilishamwambia kama utaamua kununa ww nuna tu ila haki zangu za msingi nitimizie halafu endelea kununa siku kikikushuka utanisemesha
Huyu wangu akinuna hata shobo za kuomba hela zinapotea najikuta napumua. Ile baba fulan nataka hiki mara kile vinaenda likizo sasa nadhani anaepoteza kwa asilimia mkubwa ni yeye.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.