Recent content by issac77

  1. issac77

    JamiiForums Tanzania Mnawezaje kuhandle situation ya mwanamke kununa ndani ya familia

    Sahihi mkuu! Ukimfatisha mnuno tayari umeshaingia kwenye mfumo wake na atakae athilika zaidi ni ww maana hata focus Yako kudeal na michongo Yako itakuwa chini utajikuta daily unawaza maujinga ujinga ya home
  2. issac77

    JamiiForums Tanzania Mnawezaje kuhandle situation ya mwanamke kununa ndani ya familia

    Sasa kwenye sim unaenda kutafuta nn😄
  3. issac77

    JamiiForums Tanzania Mnawezaje kuhandle situation ya mwanamke kununa ndani ya familia

    Mwanangu hivi viumbe ukiwa mlainilaini hutoboi utakufa kwa sonona
  4. issac77

    JamiiForums Tanzania Mnawezaje kuhandle situation ya mwanamke kununa ndani ya familia

    Inategemeana anakuchukuliaje aisee, kama ndani ni 50/50 hapo penyewe atakupelekesha anavyotaka yeye maana jeuri anayo kama ni pesa anajua kuitafuta utamwambia nini
  5. issac77

    JamiiForums Tanzania Mnawezaje kuhandle situation ya mwanamke kununa ndani ya familia

    Aisee mimi nilishamuachisha kazi kwa upuuzi huo wa kununa na kuondoka kimya kmya bila kuaga nikamwambia stop huwezi ondoka kwenye himaya yangu bila kuaga,. Pia kipindi Cha mwanzoni tumeoana ndio tunamtoto mmoja na ni mama wa nyumban aliwahi Fanya hivyo akinuna anachomoka bila kuaga nilichofanya...
  6. issac77

    JamiiForums Tanzania Mnawezaje kuhandle situation ya mwanamke kununa ndani ya familia

    Kwangu naona athali hamna maana nilishamwambia kama utaamua kununa ww nuna tu ila haki zangu za msingi nitimizie halafu endelea kununa siku kikikushuka utanisemesha
  7. issac77

    JamiiForums Tanzania Mnawezaje kuhandle situation ya mwanamke kununa ndani ya familia

    Hiyo nzuri maana hata hela hakuombi si amenuna?
  8. issac77

    JamiiForums Tanzania Mnawezaje kuhandle situation ya mwanamke kununa ndani ya familia

    Huyu wangu akinuna hata shobo za kuomba hela zinapotea najikuta napumua. Ile baba fulan nataka hiki mara kile vinaenda likizo sasa nadhani anaepoteza kwa asilimia mkubwa ni yeye.
  9. issac77

    JamiiForums Tanzania Mnawezaje kuhandle situation ya mwanamke kununa ndani ya familia

    Na yeye atatoka si mtakuwa mmenuniana basi hamuulizani😄
  10. issac77

    JamiiForums Tanzania Dalili za mtu mwenye akili kubwa lakini hajitambui

    Mwaka wa 14 huu jf
  11. issac77

    JamiiForums Tanzania Dalili za mtu mwenye akili kubwa lakini hajitambui

    Mbona Mimi Sina hata kimoja hapo kwahiyo ninaakili ndogo?
  12. issac77

    JamiiForums Tanzania Hivi na nyie wake zenu wanawapa unyumba kwa kunung'unika kama huyu wangu?

    Mkuu tafuta mpango wa kando hautajutia nakwambia
Back
Top Bottom