Recent content by issac77

  1. issac77

    JamiiForums Tanzania Punyeto inafariji mno¡¡¡

    Wote mnaoisifu nyeto ukweli naamini sio wapigaji, mnamuingiza chaka kijana
  2. issac77

    JamiiForums Tanzania Punyeto inafariji mno¡¡¡

    😄😄
  3. issac77

    JamiiForums Tanzania Masikini wote, Mkishindwa Sana zaeni mtoto mmoja Huku mkiangalia uchumi wenu..Mnakera Sana

    Mashamba yapo nitawapeleka shamba wakalime, acha nifyatue.. eti nizae kamoja, kakivuta bangi ama kakawa upinde?!
  4. issac77

    JamiiForums Tanzania Wanaume wa aina hii, najitolea misumari kwenye ujenzi wa sanamu zenu…

    Kabisa...age go
  5. issac77

    JamiiForums Tanzania Wanaume wa aina hii, najitolea misumari kwenye ujenzi wa sanamu zenu…

    Zamani Uzi kama huu nilikuwa nadinda ila kwa sasa mmmh!!
  6. issac77

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Dah😄
  7. issac77

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Mbona mapema sana mpaka ifike trh 22 siutakuwa unajiongelesha mwenyew?
  8. issac77

    JamiiForums Tanzania Maumivu ya kuachwa na mke huwa yanachukua muda gani kupona

    2021 niliachana na mzazi mwenzangu tulikuwa na watoto wawili tayari, mkubwa Miaka 4 mdogo alikuwa na mwaka na nusu. Akaondoka watoto wangu akawapeleka kwao kijijini yeye akarudi mjini kula Raha, miezi ikapita nikapewa taarifa wanangu wanateseka hasa huyu mdogo amedhoofika sababu ya rishe duni...
  9. issac77

    JamiiForums Tanzania Plot4Rent Shamba la miti linauzwa Njombe

    Amesema ameshauza
  10. issac77

    JamiiForums Tanzania Mnaokaa nyumba za kupanga (shared) fahamu hili

    Maelezo marefu ukiangalia point ipo hapo mwishoni kwenye umeme😄
  11. issac77

    JamiiForums Tanzania Safari ya kununua hisa za NMB inaanzia hapa. Ml 87 stake, liwalo na liwe!

    Mambo ya hisa sio ya kukurupukia kk kama huna elim nayo. Ni kweli unaweza pata faida kubwa kwa muda mfupi, pia vile vile unaweza pata hasara kubwa kwa muda mfupi ukapotea uringoni. Kila mmoja awekeze anapoweza
  12. issac77

    JamiiForums Tanzania Safari ya kununua hisa za NMB inaanzia hapa. Ml 87 stake, liwalo na liwe!

    Kwa mwezi huu mpaka Leo trh 29 nimedunduliza faida 836k hii sio ndogo kwa maisha ya ss ambapo ni faida nje ya mtaji ambao umewekezwa. Hapa target yangu kwa mwezi niwe napata 1m inaenda kutimia
  13. issac77

    JamiiForums Tanzania Safari ya kununua hisa za NMB inaanzia hapa. Ml 87 stake, liwalo na liwe!

    Mimi nimewekeza M.wekeza Voda, napata kidogo kwa mwezi naridhika nacho sababu risk ni ndogo sana kupoteza mtaji
  14. issac77

    JamiiForums Tanzania Safari ya kununua hisa za NMB inaanzia hapa. Ml 87 stake, liwalo na liwe!

    So hiki ndio kipindi Cha kununua sasa si ndio?
Back
Top Bottom