Hapo kwenye perfume umenena, Kuna spray Moja alinyunyiziwa marehem ba.mkubwa miaka 17 iliyopita, mpaka Leo hiyo harufu nikimpita mtu kajitupia nakumbuka msiba
Sure mkuu Kuna wataalam wanatengeneza mpaka nyoka anakuwa mlinzi wa eneo Hilo akiingia mhalifu anaee! Ila sasa kuwapata wataalam wa namna hiyo ni mbinde kwa sasa wamejaa matapeli mpaka ufanikishe unaweza jikuta umeliwa pesa nyingi sana
Hiyo kitu ya neg/pos energy ni kitu real aisee Kuna muda unatembea unaona kabisa uko mwepesi Ile nguvu ya ndan imepungua mambo unayaona meus meus tu Mim nikipga nje lazima nijiboost na hiyo kitu walau nifururize siku 3 naoga, sim zitaita mpaka utazichoka mwenyew
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.