Recent content by issac77

  1. issac77

    Maafisa Usalama wavamia nyumba za Diddy, akakimbia msala na ndege yake binafsi inafuatiliwa huko Antigua Caribbean

    hivi huko duniani wenyewe vibahasha vya kaki havifanyi kazi kama huku?
  2. issac77

    Nimeenda kikao cha shule na gari yangu Subaru Forester, walimu wakanishangaa

    anasema kweli ualimu sio kazi, sema tu uwasilishaji wake ndio changamoto
  3. issac77

    Nimeenda kikao cha shule na gari yangu Subaru Forester, walimu wakanishangaa

    Mpwayu... Ningeshangaa usije na id nyingine maana ile tayari ni ban ya maisha hairudi
  4. issac77

    Mara ya mwisho kupima uzito ulikuwa na kilo ngapi?

    54 kg. Ft 5.2. imagine mwonekano wangu
  5. issac77

    Lazaro Nyalandu, Mwanaccm pekee aliyepinga Udikteta wa awamu ya 5 kwa vitendo

    mkuu kama umeangalia post ile kampost akiwa lodge kifua wazi hapo tu hata kama asipoiachia tayari ameshamchafua
  6. issac77

    Lazaro Nyalandu, Mwanaccm pekee aliyepinga Udikteta wa awamu ya 5 kwa vitendo

    Ila mange yule mama hicho anachokifanya atakuja afe kifo cha kutatanisha. Hata kama yupo mbali watamnasa tu wammalize
  7. issac77

    Car4Sale Nauza gari ya kubebea mizigo kwa bei poa

    Picha hazifunguki
  8. issac77

    Kijana yenu nipo hapa kwa mtu yeyote ambaye anataka kuniagiza kitu

    Nataka take aways za kufungia chips zile kama visahani vya pembe nne. Katon bei gan?
  9. issac77

    Ukiwa kama kocha utaanza na mshambuliaji gani hapa?

    Suarez, drogba, hary kane, aguero wote mbele pale
  10. issac77

    Chemsa bongo

    Uchama, nzega hapo
  11. issac77

    Waziri Mchengerwa: Nilipewa bajeti ya dola laki 5 ili kununua basi moja la mwendokasi

    ndio hvyo mkuu wote wapo kwenye chungu kimoja wanajuana wanayoyafanya... Ili uamini naloliwaza, kama wewe ni mtumishi wa uma ambapo haupo nao chungu kimoja, jaribu ukwapue hata mil 10 tu uone litakalokutokea
Back
Top Bottom