Kwa muono wangu ni kwamba hali ya maisha nayo ndio source kubwa inayopelekea hali kama hiyo. Unakuta katika familia kuna watoto wapatao 8 then anayetegemewa ni baba hata hivyo baba mwenyewe hana kazi ya kudumu bali anategemea vibarua. Je kwa ukweli huu kuna uwezekano wa kupunguza hili tatizo?
Habari zenu, jamani nahitaji kujua juu ya suala hili. Hivi ni kwani wasichana wengi huwa wanajiingiza ktk mahusiano ya kimapenzi wakiwa na umri mdogo? Na je, ni kwanini baadhi ya wavulana pia hujiingiza katika mahusiano na wakina mama waliowazidi umri?
Marafiki, upendo wa dhati ndilo jambo la kheri baina yetu na wengineo.
Hivi inakuwaje mpaka mtu wa tabaka la juu anamchukia na kumtolea maneno makali au hata yenye kukera mtu mwenye tabaka la chini?
Kumbuka, mungu hakumjaalia mtu kipato kwa kuja kumnyanyapaa mwingine bali alifanya hivyo kwa...
Hivi inakuwaje mpaka mwanaume au mwanamke anaamua kuisaliti ndoa yake? Je ni tamaa za pesa au ngono au hata kuichoka ndoa? Nahitaji majibu yenye kuelimisha guys
Kale kapenzi katamu ulichonipa toka moyoni, na ile michezo mitamu sasa ivi shubiri chungu mdomoni. Macho yangu yezoea kuona tabasamu lako. Come to me baby.
kiuhalisia yaan sisi waswahili tuna tabia moja, dharau katika mambo ambayo yako active. Fikiria kwamba hili tatizo lingemkuta mdogo wako then mko watatu baina yako, yeye na mama na wote hamjiwezi kumudu hii hali halafu mnapokea majibu kama hayo, hv utahisi vipi katika nafsi yako? Mungu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.