unahisi kwanini unajua wewe na si wengine?
je ukiwajuza wengine unapungukiwa nini?
ikiwa yesu amerudi mbano ufufuo haupo?
mbona bado tunazika wapendwa wetu?
uko wap ukuu na utukufu atakao kuja nao mwana wa adam?
Nataka mshahara kama wa Azizi KI, mwenzio dk 20 zimetosha kuamua mechi, Wewe dk 90 zote unaruka ruka kiwanjani!
Kuna msemo wa wahenga usiteme big G kwa karanga za kuonjeshwa
Future yako iko rehani, huko uliko hakuna mashabiki wa kukusifia kama ilivyokuwa ukiwa Yanga, kiuhalisia hukuwa na maajabu😄
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.