"Uhuru wa kusema". Hayo ni mawazo yako. Watz si wa kipindi cha huyo uliyempa jina la mangi. Na watz hawana akili mgando kama unavyowafikiria wewe kiasi kwamba wanashindwa kuelewa uozo uliopo kwenye serikali ya tz inayoongozwa na tapeli "ccm" daima tunahitaji mabadiliko dhidi ya serikali tapeli...
NEC imekosa mwelekeo kwa mambo yafuatayo;
01 kuwepo kwa matatizo ya chaguzi mbalimbali kama jimbo la Arusha mjini na majimbo mengineyo
02 kukosa maamuzi sahihi juu ya kazi wanayopaswa kuifanya. Kutokana na uozo huo hupelekea kuwepo kwa fujo na uvunjifu wa amani wakati na baada ya uchaguzi...
Ni jambo la kusikitisha sana kama serikali inashindwa kufanya maamuzi kuhusiana na suala hilo. Wakristo wanapofanya kosa fulan ama wasifanye wanaandamwa na hao wanaoitwa vyombo vya usalama, ninashindwa kuelewa mwisho wake utakuwa nini! Je itakuwa ni vita ya kidini imeshaanza au maana yake nini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.