Recent content by ismailminja

  1. I

    JamiiForums Tanzania Mwigulu Nchemba aokoa £11550000 SADC, Zimbabwe wadhani mtoto wa Nyerere

    vijana ni hazina hapa Tanzania Hongera vijana wa kitanzania kwa uzalendo wenu.
  2. I

    JamiiForums Tanzania Yusuf Makamba: Mokiwa muombee January aote nywele

    Naomba kurudia kutoa shukrani zangu za dhati kwa wale wote miongoni mwenu, wake kwa waume, wazee kwa vijana, walionitumia ujumbe na salamu kutoka pande zote za nchi - kwa kupiga simu, kwa kutuma ujumbe mfupi wa simu na kupitia mitandao ya kijamii - kueleza kufurahishwa kwao na uamuzi wangu...
  3. I

    JamiiForums Tanzania Kikwete: Nataka kurithiwa na rais kijana!

    mkuu slaa ni mkabila, mdini, mwizi wa ruzuku ya chama, mwizi wa wake za watu, mdini na mwongo.2015 tumuunge mkono kijana mwenzetu January makamba tuache unafiki sisi vijana.
  4. I

    JamiiForums Tanzania Kikwete: Nataka kurithiwa na rais kijana!

    January makamba anatosha 2015
  5. I

    JamiiForums Tanzania Urais 2015: January Makamba moto wa kuotea mbali

    wazee wamebariki Urais 2015 makamba jr anatosha
  6. I

    JamiiForums Tanzania Urais 2015: January Makamba moto wa kuotea mbali

    mkuu lusungo kwani wewe unaimba nyimbo gani au njaa zinakusumbua!!!!!!! pole sana mkuuu
  7. I

    JamiiForums Tanzania Urais 2015: January Makamba moto wa kuotea mbali

    Rostam na Lowasa wote ni wezi wa mali za umma
  8. I

    JamiiForums Tanzania Urais 2015: January Makamba moto wa kuotea mbali

    chadema ni chama kinachoendeshwa katika misingi ya kilaghai
  9. I

    JamiiForums Tanzania Urais 2015: January Makamba moto wa kuotea mbali

    mkuu Lusungo njaa zitakuuwa badilika utaua nchi kwa upendo wa njaa
  10. I

    JamiiForums Tanzania Urais 2015: January Makamba moto wa kuotea mbali

    Mkuu hawa watu wananufaika na pesa za mzee lowasa ndio maana hawaambiwi chochote kuhusu huyu mzee,hii isiturudishe nyuma sisi vijana wazalendo wa kitanzania
  11. I

    JamiiForums Tanzania Urais 2015: January Makamba moto wa kuotea mbali

    Mkuu jibu hoja povu la nini!!!!!!!!!Galaxy na Urais wa Jr makamba wapi na wapi!!!!Urafiki wa Rostan na Lowasa umekwisha!!!!!
  12. I

    JamiiForums Tanzania Urais 2015: January Makamba moto wa kuotea mbali

    toilet paper ya mbowe aka mr zero ihungo secondary(tanzania daima) eti nalo linamuunga mkono lowasa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!siasa za kijasiliamali zitakufikisha wapi mr zero
  13. I

    JamiiForums Tanzania Urais 2015: January Makamba moto wa kuotea mbali

    vijana wengi wa baa ya vichaa ni wanafiki sana eti leo wanampinga makamba jr na wanawaunga mkono babu slaa na babu mamviiiiiiiiiiiii poor baa ya vichaaa
  14. I

    JamiiForums Tanzania Urais 2015: January Makamba moto wa kuotea mbali

    Nini kilichomshinda pale bumbuli mbona mnaleta siasa za majitaka.karibuni bumbuli mtaona nini tofauti, vijana tumuunge mkono mwenzetu
  15. I

    JamiiForums Tanzania Urais 2015: January Makamba moto wa kuotea mbali

    tunahitaji kuwa na Rais anaendana na changamoto za wakati huu.Vijana tuachekutumika na hawa wazee vijana twendeni na kijana wenzetu MTANZANIA MZALENDO 2015 JANUARY MAKAMBA
Back
Top Bottom