Recent content by ismaili sogora

  1. ismaili sogora

    SoC04 Serikali iwaangalie wahitimu wa vyuo vya ufundi stadi VETA kwa kuwapatia nyenzo za kuwawezesha vijana kuendeleza fani zao

    Kutokana na ukosefu wa ajira katika nchi yetu ,Elimu ya ufundi stadi imekuwa mkombozi wa vijana wengi sana ndani ya nchi yetu kwani wamejengewa uwezo wa kazi mikononi mwao lakini uwezeshwaji wa vijana kimitaji ili waendeleze shughuli zao za kiufundi kwa kufungua karakana zao binafsi na kufanya...
  2. ismaili sogora

    Kutokana na ukosefu wa ajira kwa vijana Serikali iangalie namna kuunda Bodi ya Mifuko wa Ajira

    Asante kiongozi .Nchi yetu ilianzisha bodi ya mfuko wa barabara yani “LOAD FUND” Bodi ya Mfuko wa Barabara ilianzishwa kwa SHERIA YA BARABARA NA TOZO YA MAFUTA, SURA YA 220. Bodi hii inaundwa na wajumbe tisa, wanne kutoka sekta ya Umma na watano kutoka sekta binafsi. Wajumbe hao ni Mwenyekiti...
  3. ismaili sogora

    Kutokana na ukosefu wa ajira kwa vijana Serikali iangalie namna kuunda Bodi ya Mifuko wa Ajira

    Kutokana na ukosefu wa ajira kwa vijana Serikali iangalie namna ya kuunda Bodi ya Mifuko wa Ajira. Kuundwa kwa bodi ya mfuko wa ajira kutoka kwatika vyanzo mbalimbali vya kodi kutasaidia kupatina kwa fedha za kuajiri wahitimu wengi waliopo mtaani.
  4. ismaili sogora

    TANESCO mnachelewa sana kuleta nguzo kwa tunaohitaji

    Kucheleweshea wateja wa service line wanaohitaji nguzo imekuwa changamoto sana kwetu wateja Sababu kubwa ikiwa ni upungufu wa vifaa. Kweli wasimamizi wa taasisi mmeshindwa kulisimamia hili jambo au shirika limezidiwa?
Back
Top Bottom