Recent content by ismail kibwana

  1. I

    PreGE2025 Rais Samia: Vyombo vya ulinzi na usalama msiruhusu watovu wa nidhamu (wanaharakati) wa nchi nyingine kuja kutovuka nchini

    RAIS SAMIA: HATUTATOA NAFASI KWA KIUMBE YOYOTE KUJA KUTUHARIBIA NCHI YETU Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amezielekeza Wizara zinazohusika pamoja na Vyombo vya Ulinzi na Usalama kutoa ufafanuzi au kukanusha haraka matamko mbalimbali yenye nia ovu...
  2. I

    Matembezi ya Amani Arusha ya Samia First Time Voters. Jokate awataka vijana kujitokeza kugombea nafasi za uongozi

    Maelfu ya vijana kutoka vyuo na vyuo vikuu Mkoani Arusha wamejitokeza kwa wingi katika matembezi ya amani yaliyofanyika jijini Arusha kuonesha mshikamano na kuunga mkono juhudi za Mhe. Rais Samia katika kuwaletea maendeleo, hususan kwenye sekta ya elimu. Kupitia ongezeko la mikopo na...
  3. I

    Mkiambiwa CHADEMA imekufa ndio huku sasa

    MKIAMBIWA CHADEMA IMEKUFA NDIO HUKU SASA Ukweli hauhitaji madoido. Mikutano haina watu ya CHADEMA..! Tujitathmini, si kudanganya hadhira kwa picha za 2015 wakati wa Mzee Lowasa, R.I.P wahuni wanatembelea ganda la Ndizi....! na Mbowe kawaacha yatima kila mtoto anataka chake nyumba haina Amani
  4. I

    Uzushi kuhusu mauaji kuwa ni mikakati ya vyama vya siasa, tusiyape nafasi kama mtaji wa kisiasa tunapoelekea uchaguzi Oktoba 2025

    UZUSHI KUHUSU MAUAJI KUWA NI MIKAKATI YA VYAMA VYA SIASA, TUSIYAPE NAFASI KAMA MTAJI WA KISIASA TUNAPOELEKEA UCHAGUZI OKTOBA 2025 🖊️Mwanaharakati Huru Tanzania Katika siku za karibuni, kumezuka wimbi la maneno ya uzushi na tuhuma nzito zinazodai kuwa kuna vyama vya siasa vinavyopanga au...
  5. I

    PreGE2025 CHADEMA itaendelea kuwa chama kidogo kwa CCM milele

    Pesa za jion za chain wahuni wamekura ila hiki chama ni kisanga kweli kweli
Back
Top Bottom