Recent content by Isihaq255

  1. I

    Mada maalum: Karibu tujadili masuala yote kuhusu Mikopo ya Elimu ya Juu

    aNY UPDATE KUHUSU MOKOPO JAMANI ...MAANA TULIKUWA TUNALILIA KUCHAGULIWA HAYA TUSHACHAGULIWA BADO LOAN INAKUWAJE?
  2. I

    Naona mapicha picha jamani

    nenda TCU kaulizie asee japokuwa mm mwenyewe nasubiria ni chuo gani kwani wameniandikia provisionally selected
  3. I

    NIT ni chuo ama ni kijiwe cha tuition?

    mzee umelitoa povu aseee hahahah... yaani hata mm nasubiria sijui lini
  4. I

    Anayefahamu tarehe ya kuripoti chuo cha (NIT) 2016/2017

    wamebandika?... j mosi ngoja niende maaana duuu
  5. I

    Anayefahamu tarehe ya kuripoti chuo cha (NIT) 2016/2017

    kwenye web yao ama wapi?... plzz help me niyachek
  6. I

    Awamu ya pili: Orodha ya wanafunzi waliochaguliwa vyuo mbalimbali nchini 2016/17

    ok. Kwani kuna taarifa zozote kwamba washatoa kwenye board yao maana daah... nimeandikiwa provisionally selected na vyuo vyote nimechek bado NIT na UNIQUE ACADEMY na NIT niliweka First na second choice.
  7. I

    Awamu ya pili: Orodha ya wanafunzi waliochaguliwa vyuo mbalimbali nchini 2016/17

    HIvi jamani nisaidieni hawa NIT mbona wanakua wagumu kupost kwenye website yao majina waliochaguliwa? au ndo tuamini yali yaliopigwa picha?
  8. I

    TCU wameshafungua profile ingia uangalie

    mm mweneyewe hivyohivyo but wa diploma so uhakika au inakuaje hapoooo
Back
Top Bottom