Usiikashifu dini kwa sababu ya tabia za watu au kikundi fulani cha watu waotumia mwavuli wa uislam kwa kufanya mabaya! Hakuna sehemu kwenye dini imeelezea kama unavyoelezea ww!
Yaan ni kero kwa sisi watumiaji wa hii barabara ya Kijichi kwanza barabara ni ndogo kupitisha magari makubwa ya mikoani! Magari yanapishana kwa shida sana
Umesema kweli mkuu! Kwanza watoto hawapati haki za msingi kwakua utakuta baba anaegemea katika familia moja na kujali wale anaoishi nao tu ila wale walio mbali nae wanaishi kwa shida hio hupelekea kukosekana kwa upendo kwa watoto!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.