My dear. Karibu tuwe partiners kwenye biashara, uhakika wa kupata faida kwa mwezi 500,000 ni 100%. Hautahusika na operations costs. Utakapopata biashara ya kukuingizia 1M kwa mwezi unajitoa wakati wowote unaenda fanya hiyo.
Wakuu kuna nafasi za kazi .
Wanahitajika Gradute Engineers (Civil) wawili na Driver mmoja. Engineers wawe wame graduate mwaka jana 2023. Driver awe ana cheti cha NIT na awe amezaliwa kuanzia mwaka 1979 hadi 1988. Tupeane mawasiliano DM.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.