Nafurahia sana kuona MAWAZO chanya na huru Kwa kila mtu anavyojadili nami nasoma kiumakini na weledi ili siku yangu isinipite,Na natamani ningejua ukiitwa kwenye usaili hasa upande wangu wa udereva tu ndo professional yangu kwenye vitendo sina shaka hata kujielezea pia ila Kuna laziada...
Husika na kichwa cha habari hapo juu,heshima zenu wote poleni na majukumu ya hapa na pale.
Natafuta gari hesabu /mkataba Uber/Bolt/Ping/ hata kumuendesha mtu binafsi /kampuni napatikana Dar es Salaam vigezo vyote ninavyo pamoja na vyeti vya ufundi.
Nitashukuru kama nitasaidiwa 0716-326162...
Husika na kichwa cha habari hapo juu,heshima zenu wote poleni na majukumu ya hapa na pale.
Natafuta gari hesabu /mkataba Uber/Bolt/Ping/ hata kumuendesha mtu binafsi /kampuni napatikana Dar es Salaam vigezo vyote ninavyo pamoja na vyeti vya ufundi.
Nitashukuru kama nitasaidiwa 0716-326162...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.