Mimi Myself
Member
- Apr 18, 2022
- 8
- 2
Naomba mnijuze wakuu kwa wale ambao mliomba kazi za Tanroads Tabora, vipi walishaita kwenye interview au watatangaza lini na wanatangaza kupitia website gani? Tafadhali msaada wenu wakuu.
Acha utani basi mkuu, deadline yenyewe ilikua tarehe 31 March mzee,duhTushaanza kula mshahara
Okay thanks mkuu,Ila huwa wana-notify kwa njia gani hasa,simu au emails?itakua bado hata mm cjapata notfcation yoyote
SimuOkay thanks mkuu,Ila huwa wana-notify kwa njia gani hasa,simu au emails?
We acha tu,ni maumivu mkuuIla poleni sana kwa kuwa na presha maana hata mimi huwa nakerekwa sana unatuma maombi ya kazi halafu kimya muda mrefu
Thank you very muchSimu
Mshahara wangu wenyewe ushaisha mapema 😂😂Tushaanza kula mshahara
Ila poleni sana kwa kuwa na presha maana hata mimi huwa nakerekwa sana unatuma maombi ya kazi halafu kimya muda mrefu
Hongera mkuunlpta tanroad tabora Apo kama wik mbil zmepta nkaomba kuonana naa hr wakasema bado wanazchambua watakao kua wqualfied ndio watakao itwa nkaweka mikono nyuma nkasema asante mkuu nkatoka
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app