Recent content by Isaac23

  1. I

    JamiiForums Tanzania Mashine ya kutengeneza bisi naiuza

    Mkuu picha Sina hapa. Mashine nimeiacha nilipokuwa lushoto kwa sasa nipo mkoa mwingine kituo cha kazi. Kama upo huko naweza kukuelekeza kwenda kuiona kanza ndio tuongee biashara.
  2. I

    JamiiForums Tanzania Mashine ya kutengeneza bisi naiuza

    Hahaha mimi sio dalali nauza mashine yangu mwenyewe. Kiufupi nilinunua hiyo nikiwa na lengo la kuanzia maisha ya kitaa baada ya kumaliza chuo. Mungu amesaidia nimepata kazi baada ya kumaliza chuo hivyo sitakuwa na muda nayo. Mashine ipo katika hali ya upya boks lake na sisiti ninayo. Useme una...
  3. I

    JamiiForums Tanzania Mashine ya kutengeneza bisi naiuza

    Tuwasiliane pm
  4. I

    JamiiForums Tanzania Mashine ya kutengeneza bisi naiuza

  5. I

    JamiiForums Tanzania Mashine ya kutengeneza bisi naiuza

    Sawa ndugu inategemea na hali sijui ilikuwa na hali gani ya kwako
  6. I

    JamiiForums Tanzania Mashine ya kutengeneza bisi naiuza

    Habari za muda huu. Maana jamii. Kama tangazo linavyosema nina machine ya kutengeneza bisi (porpcorn machine) naiuza bei laki 3 Machine inatumia umeme ipo Lushoto bado ipo vizuri. Nimeona niiuze baada ya kupata kazi nyingine na sina muda wa kufanya nayo kazi tena. Karibuni
  7. I

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kinauzwa Kabuku Handeni

    Asante kwa taarifa karibu ikiwa unahitahi ni maongezi pia. Vipo vinne vimeunganika uwezekano wa kuongezewa ukubwa upo ni makubaliano
  8. I

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kinauzwa Kabuku Handeni

    kabuku ndani usawa wa mivuleni
  9. I

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kinauzwa Kabuku Handeni

    sijaenda bado mkuu
  10. I

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kinauzwa Kabuku Handeni

    Habari mwna JF! Tangazo ndio hilo! Ukubwa wa Kiwanja ni mita 18X20 kipo kabuku umbali wa kilometa 1 toka barabara kuu iendayo dar- tanga! bei 2. mil. (million mbili) Sipo kabuku kwa sasa hivyo tusameheane sijaweka picha ya eneo. Karibuni
  11. I

    JamiiForums Tanzania Natafuta mtu wa kufanya biashara!

    Asante nimekuona!
  12. I

    JamiiForums Tanzania Natafuta mtu wa kufanya biashara!

    Habari wadau Nina Mashine ya popcorn mpya inatumia umeme! nahitaji mtu wa uifanyia kazi. Awe mwaminifu. Nipo Lushoto Tanga. mahali pa kazi sio lazima huku maana huku mim nipo kwa muda ntaondoka. mwenye utayar tutafutane tushauriane wapi pa kufanya kazi na mm nitakuwa na pita pita zingine...
Back
Top Bottom