Habari ndugu zangu wiki kama moja iliyopita mwanangu alilazwa na akachomwa sindano nyingi sana mikononi ni mtoto wa miezi 11.
Sindano zile zilimpelekea kuvimba mkono kwa juu nilivyowauliza hospital wakanijibu hali hiyo itaisha nimesubiri kwa muda wa siku nne sioni dalili za hali hiyo kuisha...
Habari zenu msaada wenu pls kwa hili.
Miezi mitatu iliyopita nilinunua bajaji kwa mtu kwa ajiri ya kufanyia biashara.
Akanipa kadi na nikaenda TRA (DSM)
Ila kutokana kuwa nilikuwa na haraka na naishi mkoani nikaamua kuwatumia vishoka maana bajaji kadhaa nimewatumia.
Nikarudi mkoani ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.