Hakuna chochote hapo mara ngapi yeye na yule bwana mdogo mwengine wameshayasema hayo na ndio kwanza kina hapi wanaendelea hats kuyatolea maamuzi mambo ambayo yapo mahakamani na kutia ndani mawakili wakati aliyewateuwa ndiye aliyewapa hiyo nguvu nje ya katiba na sheria hawatowacha hizo hapo...
Awamu hii walaji wachache lakini wanapiga hasa bila ya huruma wakijuwa wanalindwa na nguvu kutoka juu wapigaji wa awamu zilizopita pesa walikuwa wakizitia mitaani kutumika lakini hawa wa sasa fedha wanazificha ughaibuni hatuzione kabisa mitaani shida tupu.
Ndugai anajijuwa kwamba yeye ndiye dhaifu na ndio maana hata bunge liko dhaifu kwa sababu kiongozi wake dhaifu anaendeshwa na muhimili mwengine kwa remote control ndio maana akareact angekuwa c dhaifu asingejali angeendelea na kazi yake.
Ndugai bora angejiuzulu naona kazi immemshinda ajishauri yeye kujiuzulu sio amshauri cag ambae anafanya kazi zake kiiueledi na sisi wananchi tunamkubali.
Tumechoka na kiki hao wa Sudan walisema hivyo hivyo wakati harakati zinaanza lakini baada ya kushamiri na kuona hakuna namna wao wenyewe wakaingilia kati na kumuweka pembeni all bashir kuepusha hayo ni nchi kuendeshwa kikatiba na kisheria na haki za wananchi ziheshimiwe hiyo tisha tisha...
Katiba ipi huyo bigi wenu mbona haheshimu na mmkaa kimnya bado mnamshangilia baada ya kumwambia ukweli wacha twende huko mnakotaka nyie c ndio wengi basi tumpe ufalme jiwe atuobgoze zaidi kwenye hayo maendeleo ya vitu mnayoyataka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.