We am
We amini ivo unavyoamini maana nothing makes sense kwa haya unayoamini, Urusi anachinjwa kila siku kwenye mia sita average mia tano kwa mnavyotuaminisha no video no evidence ila maeneo yenu yanachukuliwa kila siku. Kwenu nyinyi hizi sense zenu kwetu sisi ni no sense.
Yaani hawa jamaaa ukiwaskiliza utadhani wao ndo miungu hapa wakiona umegundua kitu wanakuponda na kukutoa dhamani ila wakiunda wao kelele mpka maiti anaskia. Ila nnacho amini ni kwamba madhali mpka leo marekani anategema sana engines ya rockets za Urus basi Urusi Anauwezo mkubwa sana maana ni...
Urusi anajitegemea kwa vifaaa vya kivita na izo shahid drones zimechukuliwa coz they're effective and cheaper than their weapons but wako vizur sana, Russia mpka sasa anapigana kwa mkono moja tu sasa unataka kuona kila kitu wakati hayuko kwenye vita, hii SMO
Hawa ndo walokuwa brain washed kuamini kwamba kila west anachofanya ni kizur na kila adui ni mchina mrusi au muarab na wao ndo waokozi wa dunia. Wakati ni opposite kabisa wao ndo maadui wa dunia kwa miaka mingi sana na mpka elimu yao na na tecnological advancement zao nyingi ni imported...
Kwa Marekan wana package ya Rv ambayo haitaji location ya mtu ila hupati kipao mbele kma nyengine so ata speed yako inaweza kuwa mbaya. Na package ya home huwezi kuhama hama nayo ukiweka kwako ndo hapo hapo. Ntalifatilia zaid hili kuona uhakisia wake
Mpka sasa simu yangu inasoma Gb 167 zilotumika na hapo sikai home kutwa kwenye box inasoma 137 gb na hapo pia sio full day na kuna ps hapo kuna kama 150 gb. Sijaendelea kwengine ila ningekuwa heavy user basi unamaliza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.