1. Nilishatafuta mtu akaniambia anauza miche kwa shs 3000.
2. Utafiti niliofanya ni kuwa unastawi popote penye mvua ya kiasi cha kati. Kama morogoro
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wakuu. Naomba kujua kuhusu kilimo na soko la almonds. Na ushauri kutoka kwenu kama ni kilimo cha kukimbilia hasa kwa binti kama mimi ambae ndo kwanza anaanza kilimo. Please nisaidieni kwa mawazo.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.