Asante kwakunipa moyo na ujasiri rafiki nahic nimetoa kitu kizito kifuani kwakuliongea chili kulikonilivyokua nalihold mwenyewe moyoni Mungu ni mwaamifu naamini atatenda
Asante Ukwaju sijawi kuishi nae isipokua kipindi alipokuja kwa lengo la kumjua mwanae name kulazimisha kukaa kwangu kwa wiki2 na wala sijiu alipo kwasasa
Habari zenu wana jf. Stories yangu in ndefu ila nimeandika kiufupi naomba usome yote asante. Mimi ni msichana umri 29 ninamtoto Wa kiume umri11yuko grade five anaingia six now kilichonifanya niombe ushauri wenu wanasheria nimemlea huyu mtoto pekeyangu bila msaada Wa upande Wa pili baba yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.