Recent content by irlema

  1. I

    Naomba ushauri wenu tadhali ili huyu malaika afikie malengo yake

    Asante kwakunipa moyo na ujasiri rafiki nahic nimetoa kitu kizito kifuani kwakuliongea chili kulikonilivyokua nalihold mwenyewe moyoni Mungu ni mwaamifu naamini atatenda
  2. I

    Naomba ushauri wenu tadhali ili huyu malaika afikie malengo yake

    Asante Ukwaju sijawi kuishi nae isipokua kipindi alipokuja kwa lengo la kumjua mwanae name kulazimisha kukaa kwangu kwa wiki2 na wala sijiu alipo kwasasa
  3. I

    Naomba ushauri wenu tadhali ili huyu malaika afikie malengo yake

    Asanteni kwa ushauri wenu nitajaribu na huko pia
  4. I

    Naomba ushauri wenu tadhali ili huyu malaika afikie malengo yake

    Habari zenu wana jf. Stories yangu in ndefu ila nimeandika kiufupi naomba usome yote asante. Mimi ni msichana umri 29 ninamtoto Wa kiume umri11yuko grade five anaingia six now kilichonifanya niombe ushauri wenu wanasheria nimemlea huyu mtoto pekeyangu bila msaada Wa upande Wa pili baba yake...
  5. I

    Epuka Kupotezewa Muda Wako

    Duh mmenigutha thathijui nifanyeje
  6. I

    Apewe hongera mgunduzi wa PM

    What is PM jaman
Back
Top Bottom