Recent content by iQ255

  1. iQ255

    Naweza kutumia youtube kosoma PCM,PGM,PCB ya A-level bila kwenda shule wala tuition na nikafaulu mitihani?

    Kwakweli masomo yote ya Science huwezi kusoma kama masomo ya Arts lazima uelekezwe/Ufundishwe na Mwalimu. Vinginevyo utatumia muda mwingi sana kusoma na kujifunza, miaka miwili haitatosha... Kwa technolijia inavyokua unaweza kujifunza kwa njia ya mtanda, lakini lazima kuwe na interaction ya...
  2. iQ255

    Kituo gani cha QT kinachosomesha chemistry, physics, biology na math kwa kiwango bora zaid mkoa wa Dar?

    Mkuu tuwasiliane Huyo anatakiwa arudie mtihani wa F4... Apate basic za science Physics, Chemistry, Biology, Geography na Mathematics... Kituo chetu kipo Kivule Jimbo la Ukonga
  3. iQ255

    Mazingira mazuri ya mtoto kujisomea nyumbani

    MAZINGIRA MAZURI YA MTOTO KUJISOMEA NYUMBANI 1. Kuwe na chumba maalumu chenya meza na kiti au sehemu maalum isiyokuwa na usumbufu kwa ajili ya wanafunzi au Mwanafunzi kujisomea akiwa nyumbani. 2. Kuwe na mwanga wa kutosha wa jua kwa mchana au tumia taa zenye mwanga mweupe, energy...
  4. iQ255

    Ushauri wa Bure kwa Wazazi wenye Wanafunzi Primary School

    Safi sana kuna kila sababu ya kila Mzazi kuanza kumsimamia katika masomo.
  5. iQ255

    Ushauri wa Bure kwa Wazazi wenye Wanafunzi Primary School

    Ili kuongeza Ufaulu wa Mwanao kwenye Somo la Hisabati (Mathematics) kwa aliyeko shule za Msingi fanya mambo yafuatayo: 1. Hakikisha unamsimamia vizuri mtoto wako afahamu kwa kuzishika kichwani Table zote kuanzia Table namba 2-12. Kwa mwanafunzi wa darasa la 3 hadi 4 table namba 2-6, kwa...
  6. iQ255

    Sababu za Wanafunzi wengi kufeli somo la Hisabati

    Comrade, Hili la Vitabu kukosewa ni mtambuka.. It is also true, sababu moja Wapo ni kuwaamisha Wanafunzi kuwa hisabati ni Kigumu..
  7. iQ255

    Sababu za Wanafunzi wengi kufeli somo la Hisabati

    Wanafunzi wengi wa Primarily na Secondary wamekuwa hawafanyi vizuri katika somo la Hisabati kutokana na sababu zifuatazo. 1. Wanafunzi wengi hawajui misingi ya Hisabati kama Kujumlisha, Kutoa, Kuzidisha na Kugawanya. Maswali mengi ya hesabu huwa yanaishia na matendo haya manne. 2. Wanafunzi...
Back
Top Bottom