Recent content by IPECACUANHA

  1. I

    CHAUMMA leo walikuwa na Uchaguzi? Katiba yao inasemaje kuhusu Uchaguzi wa Makamu Mwenyekiti, Katibu na manaibu wake? Kwako msajili

    Wanaohamia chauma ni wale waliowasaliti wananchi nakujikumbatisha kwa CCM. Ahadi ni viti maalaum(watapewa majimbo). Hii ni matusi kwa wananchi wanaotaka uchaguzi huru na wa haki
  2. I

    Kwanini hotuba za John Heche zinaonekana kama amekaririshwa maneno/amemeza flash? Anarudia maneno yale yale kila mkutano

    Mwalimu Heche anatomy elimu kwa watu wasio nayo. Length wameelewa.???
  3. I

    TANZIA Dkt. Mleoh wa Wizara ya Afya afariki Dunia

    Nimeipokea taarifa hii kwa masikitiko makubwa. Mwenyezi Mungu amjalie pumziko la milele
  4. I

    Kwanini Hospitali ya St. Benedict, Ndanda, Mtwara huuliza wateja dini zao?

    Ili wazingatie imani yako katika huduma zao utakazopata ukiwa hapo..kukupatia Padre unapokuwa kwenje hatari ya kifo n.k
  5. I

    Kifo cha mtoto Greyson Kanyenye(6) siku ya Krismas na kuzikwa tarehe 26 Disemba

    Hivi kwanini polisi hawa watambulishi watu kwa majina nanumri wao katika taarifa zao???
  6. I

    SATIVA adhibitiwe kwa matusi ya nguoni anayotoa mitandaoni

    This man who has defied death in a miraculous way can not be judged by the likes of you and most of us. The fact that you have audacity to talk about his behaviour knowing what he has been through is lucid of an evil 😈 society we are living in. Chama la machawa
  7. I

    PreGE2025 Kwanini Jeshi la polisi liruhusu kongamano la vijana Duniani kwa Vijana wa CCM na ACT Wazalendo na kuzuia la Vijana wa CHADEMA?

    Vijana walioshiriki kongamano la ccm walilipwa. Vijana wanaozuiwa kwenda Mbeya kwenye kongamano la Chadema wamejikipia wenyewe gharama za kufika huko...hapo ndio shida inapoanzia kwa watawala
  8. I

    PreGE2025 Lissu, Mnyika na Sugu wakamatwa na Polisi usiku huu. Baadhi ya Waandishi wa habari pia wakamatwa

    Unatia petrol kwenye mafuta kea kutumia lugha ya kukera. Ilichukua watu na.maneno ya aina hii kwa walio wengi kujenga hasira kali iliyosababisha mauaji ya kimbari
  9. I

    PreGE2025 Lissu, Mnyika na Sugu wakamatwa na Polisi usiku huu. Baadhi ya Waandishi wa habari pia wakamatwa

    Wauza rasilimali za nchi wanatumia pesa walizovuna kuchafua siasa.
  10. I

    PreGE2025 Lissu, Mnyika na Sugu wakamatwa na Polisi usiku huu. Baadhi ya Waandishi wa habari pia wakamatwa

    Ni dharau kubwa kwa wananchi wenzako kusema chama chenhe ufuasi nchi nzima kuwa hakina sera. Mawazo yanaina yako ambayo yako kwa wenye mamlaka yatapelekea kutokea kwa machafuko nchini. (Wananchi kujitetea )
  11. I

    PreGE2025 Lissu, Mnyika na Sugu wakamatwa na Polisi usiku huu. Baadhi ya Waandishi wa habari pia wakamatwa

    Kinachotokea ni Sawa na Kuwapa wananchi chanjo ya kupambana na polisi. Ni suala la muda tu kwa wananchi kuanza kupambana na polisi. Itakpotokea polisi watavikimbia vituo na kutupa uniform zao.. Rejea hadithi ya sativa.
  12. I

    Ifike wakati mambo ya Muungano yasijadiliwe kama turufu za wanasiasa, tuendako siko!

    Sijaelewa busara ya kuondoa majadiliano ya Muungano au mambo muhimu ya maisha ya wananchi kisiasa kutoka katika mijadala ya vyama. Huu Muungano unamatatizo makubwa kwasababu sababu za uwepo wake zimekosa nguvu ya hoja kwa sasa. Kuutibu lazima kujua chanzo na asili ya tatizo. Kuung',ang,ania...
  13. I

    Makalla atua Katavi na kusema Watasikiliza kero za Wananchi lakini siyo zile zilizopo Mahakamani

    It is very unwisse to try at this point and time to try unwind what has been winded by on Makonda. It can backfire
Back
Top Bottom