Unaweza kufuga na pia changamoto za banda nyingine ni kutengeneza makundi au koloni za nyuki.
Lakini faida zake ni za wazi kama;
(1)utunzaji wa mizinga kwa muda mrefu
(2)uvunaji wa mazao nyuki ni rahisi
(3)ugawaji makundi yakikomaa ni rahisi
(4)ukaguzi wa mizinga na ufuatiliaji ni rahisi.
Fursa kwa wakazi wa Dar es salaam na Habari ndugu,napenda kuwapa taarifa kuwa kuna fursa ya uanzishaji na ufugaji wa nyuki kwenye maeneo ya mikoko Dar es salaam.
Maeneo yanagaiwa kwa walio tayari kwa ufugaji na pia kwa maelezo zaidi unaweza nitafuta kwa 0762842787 kupata taarifa zinazohusiana...
Napendaga saana ninapoona ubongo unafanya kazi kwa wepesi kaka,thinking and reasoning itafanya tuijenge nchi njema walau kuanza na familia moja kwa nyingine
Habarini wakuu, mimi nina uzoefu mkubwa kwenye biashara ya vivutio asilia na vitu vya kuongeza ili kupata wateja,kwa anaehitaji kuinvest Dodoma na yuko serious anicheki kwa 0762842787.unawekeza kwa gharama ndogo na kupata return within muda mfupi.
Karibuni kwa ujenzi bora wa mabanda ya bei rahisi
Pia kupatia project nzima kuhusu ufugaji kwa gharama nafuu na faida ya kutosha
Kwa waliotayari nitafute via +255620764565
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.