Recent content by Intrvt

  1. Intrvt

    Changamoto kwenye Blockchain exchange nahitaji msaada

    Naomba kufahamu kama kuna mtu aliyeweza ku upgrade to gold level kwenye Blockchain exchange jamani. Nimepata challenge kwenye kuwa verified Kwa kutumia government issued ID (nilitumia voter's ID). Kama kuna aliyeweza kutumia passport au driving license pia naomba mwongozo, hii inanikwamisha...
  2. Intrvt

    Jinsi ya kufungua akaunti ya paypal na usalama wake

    Duh! Maskini nchi yangu! Sasa nitafanyaje? Au safaricom tu sasa?
  3. Intrvt

    Jinsi ya kufungua akaunti ya paypal na usalama wake

    Habari wanajamii, naomba kufahamu kama kuna mtu yeyote ambaye amefanikiwa kuunganisha Kadi yake ya bank na PayPal account na kuweza kupokea fedha kutoka nje ya Tanzania. Msaada wenu ni wa muhimu sana kwangu.
  4. Intrvt

    Ukiwa na account ya Paypal huwezi kuunganisha na bank zetu hapa Tanzania?

    Oh! Sasa nitapataje ule mchakato wa Kenya kama alternative?
  5. Intrvt

    Ukiwa na account ya Paypal huwezi kuunganisha na bank zetu hapa Tanzania?

    Sasa huyu mdau aliyeniambia kuwa BOT wameruhusu tangu mwaka jana naye vipi? Kwa maana anadai kuwa walitangaza sana tu kuhusu hilo!
  6. Intrvt

    Ukiwa na account ya Paypal huwezi kuunganisha na bank zetu hapa Tanzania?

    Mimi bwana kuna mwana JF kaniambia kuwa eti hiyo imewezekana kupokea, kwamba BOT wameruhusu hilo. Ila sasa nikiuliza wengine wananiambia kuwa haiwezekani, hapo ndio kuna shida kidogo, na Mimi nataka niende bank ili nithibitishe hilo maana lina doubts kidogo!
  7. Intrvt

    Ukiwa na account ya Paypal huwezi kuunganisha na bank zetu hapa Tanzania?

    Kwa hiyo mpaka sasa unaweza kupokea Kwa njia hyo?
  8. Intrvt

    Ukiwa na account ya Paypal huwezi kuunganisha na bank zetu hapa Tanzania?

    Replying in may! Je uliweza ku withdraw pesa? Kama ni Yes, je ulitumia njia gani? Tusaidiane hapo kidogo.
  9. Intrvt

    Tuache utani. Ukiwa committed Inawezekana kabisa Kutengeneza pesa Online. Muhimu taarifa sahihi.

    Reading this in 2020! So legit! Je umeshajaribu kutransfer funds zako kuingia TZ kupitia PayPal mwaka huu? Nahisi unaweza kunipa clarification maana kwangu nakwama kidogo na kuna mtu humu JF amedai kuwa inawezekana tena kupitia crdb! Na je, hapa TZ drop shipping clients unawapataje? Au kwenye...
  10. Intrvt

    Ukiwa na account ya Paypal huwezi kuunganisha na bank zetu hapa Tanzania?

    Mkuu ukienda crdb mbona wanajiamini kama vile inawezekana? Hebu tupeane clarification ili tujue kama tunatumia safaricom au la maana ishakua shida.
  11. Intrvt

    Ukiwa na account ya Paypal huwezi kuunganisha na bank zetu hapa Tanzania?

    Unajua ukiwauliza wanakuw kama wanaielewa PayPal kumbe wao wanarefer online purchase. Hapo nd wananichanganya na Mimi.
  12. Intrvt

    Ukiwa na account ya Paypal huwezi kuunganisha na bank zetu hapa Tanzania?

    Sure mkuu nilikuwa sijaiona reply. Umenisaidia sana.
Back
Top Bottom