Zip code, Chagua mkoa wako na sehemu uliyopo Postcode Listjinsi ya kufungua akaunti ya PAYPAL. nakwama sehemu inayodai zip code. nifanyeje?
Zip code, Chagua mkoa wako na sehemu uliyopo Postcode Listjinsi ya kufungua akaunti ya PAYPAL. nakwama sehemu inayodai zip code. nifanyeje?
Asante sana mkuuZip code, Chagua mkoa wako na sehemu uliyopo Postcode List
OkAsante sana mkuu
Changamoto iliyopo mkuu ni kupokea hela kwenye acc bank kupitia paypal ila mambo mengine sa iv ni kitonga, Hata zile code za ku verify card sa iv naona wanakutumia kwa sms ila kwa BankABCUtaleta na mrejesho tujue umepata changamoto gani tujue
Hiyo changamoto ukiwaelezea bank wanasemajeChangamoto iliyopo mkuu ni kupokea hela kwenye acc bank kupitia paypal ila mambo mengine sa iv ni kitonga, Hata zile code za ku verify card sa iv naona wanakutumia kwa sms ila kwa BankABC
Hivi inakuwaje? Ni kwamba institutions za kifedha hazijaweka makubaliano na PayPal au? Inachosha sana.Paypal Tanzania haipokei pesa, tafuta laini ya Safaricom, fungua paypal kenya then utapokea pesa bila shida..
Ikiingia paypal, unaamishia M-Pesa kenya, then M-Pesa Tanzania..
Hiyo kwangu huwa naona ni process ndefu, angalia pia uwezekano wa btc hata webmoney
Pole sana mkuu, ndo nchi yetu hii wazee ndo wamejaa kwenye vyombo vya maamuzi, wakisikia internet wanajua ni kuangalia porn na kutakatisha pesa..Hivi inakuwaje? Ni kwamba institutions za kifedha hazijaweka makubaliano na PayPal au? Inachosha sana.
Okay, halafu kuhusu BTC wallets na webmoney ni kuwa withdrawal method ya kazi nilizokamilisha zote ni PayPal hivyo ninalazimika kuweka sawa PayPal.
Yeah, na social media scandals na nudity ndo hicho sasa. Inachosha sana yani najiuliza ninaishi century gani?Pole sana mkuu, ndo nchi yetu hii wazee ndo wamejaa kwenye vyombo vya maamuzi, wakisikia internet wanajua ni kuangalia porn na kutakatisha pesa..
Ukiwauliza kwanini hawaruhusu paypal hawana majibu ya kueleweka!
Mbona tumekujibu jana kule ulikokuwa umeweka thread yako au unahisi tulikudanganya?Habari wanajamii, naomba kufahamu kama kuna mtu yeyote ambaye amefanikiwa kuunganisha Kadi yake ya bank na PayPal account na kuweza kupokea fedha kutoka nje ya Tanzania. Msaada wenu ni wa muhimu sana kwangu.
Habari wanajamii, naomba kufahamu kama kuna mtu yeyote ambaye amefanikiwa kuunganisha Kadi yake ya bank na PayPal account na kuweza kupokea fedha kutoka nje ya Tanzania. Msaada wenu ni wa muhimu sana kwangu.
Duh! Maskini nchi yangu! Sasa nitafanyaje? Au safaricom tu sasa?Hiki kitu Tz hakiwezekani ngoja 2025 tufikie uchumi wa kati may be BoT watafungua
Inabidi tuwasiliane NafakaMbona tumekujibu jana kule ulikokuwa umeweka thread yako au unahisi tulikudanganya?
Paypal pesa ukitaka itoa unapitanjia ya kenya kama unavyoona hapoo mm napokea pesa via hiyo platnum ni account ya kenye linked na mpesa safaricom
View attachment 1464347
Tz labda kuweka pesa na kununua ila si kupokea pesa.Naomba msaada jamani kwenye kujisajiri kwenye mfumo wa malipo wa PAYPAL.
Nimejaribu kufanya hivyo naona inaleta address na mitaa ya USA tu.
Kwanini usiweke wengine wanufaike?Kwa Tanzania haifanyi kazi!! Njoo dm kwa maelezo