Jamani asanten kwa pm nyingi sana,usaili unaendelea kwa apps zilizotumwa...asanten ata kwa kuntia moyo kwa wale waliofanya hivyo.nipunguze maswali..mimi napatikana dar sitak mtu wa nje wa apa sabab distance hua inacost sana mahusiano mengi.
Jamani wana JF,
Mimi ni mara yangu ya kwanza kuleta mchango humu ndani kutokanna na upya wangu katika majukwaa haya.
Ni mwanamke wa miaka 28. Ni mwezi wa sita sasa sina uhusiano kutokana na uhusiano niliodumu nao miaka mi nne kutoweka ni swala lililoniletea msongo sana wa mawazo sababu sikua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.