Yaani imekuwa Ni zaidi ya kero! Tena siku hizi wanauza vitabu kwa soft copy.
Mara utasikia njoo kwenye mafunzo kwa njia ya WhatsApp kwa mwezi elfu kumi.
Mara ooh wengine Ni watengeneza rogo za biashara utasikia elfu 20.
Yani siku hizi ukiona motivation speaker anatuma ujumbe Fulani ujue...
Kuna kiwanja kinauzwa wilaya ya ilala Kitonga.. ( tayari kina msingi)
Tayari Kuna shimo la choo lililojengewa.
Vyumba vitatu, sitting room na dyninmg room na choo Cha ndani..
Kuna ramani ya umeme...
Msingi kozi nane kutoka chini full nondo na cement.
Urefu Ni futi 50 kwa 45.
Bei 4m
0784312904
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.