Recent content by International hatari

  1. I

    Sio sahihi, CCM kuwatumia watoto wadogo (UVCCM) kumkera Mzee Kingunge

    Kama Kingunge Ngombale Mwiru amekosa, Na kwa umri wake Sishangai, lakini CCM walitakiwa wamtumie ile kamati ya maadili iliyomkata Lowasa iongee nae sio kina Nape na Sixtus Mapunda. Hawa UVCCM hawana nidhamu. Mh. Mkapa, Mh. Mangula, Mh. Mwinyi nk wangetumia Uzee wao kuongea na huyu Mzee...
  2. I

    Mzee wa upako: Mungu anachukia umasikini

    Atoe Aya na Mlango katika Biblia inayosema ukifa na nyumba moja ni dhambi. Watanzania wote tutachomwa.
  3. I

    Hivi Watangazaji wa Clouds FM wana shida gani?

    Kwani Kusaga hajatangaza Nia hata ya Udiwani kama Manji? Ngoja akikatwa atawaachia MA Profesional wa habari wafanye kazi zao hapa Clouds TV Ki Professional bila kuwaingilia.
  4. I

    Mdahalo wa mkikimkiki tarehe 30 Agosti, 2015; Mada UTAIFA ( sera za vyama)

    Kwani nyie ni nani mnaoratibu huu mdahalo? Kama ni wanaharakati kwanini StarTV tu musishirikishe TV zingine kama ITV na wananchi vijijini waone!? Kama nyie ni StarTV poa ila haijaenea haswa kusini na ina technical problem wkt mwingine kama sauti nk. Please take ASAP.
  5. I

    Zinduka: Siasa inanunua watu, Polepole naye kanunuliwa

    Hata kama alisema Serikali 2 au 1, Politics is not static but dynamic. Mbona tulihubiri sana Ujamaa na uko wapi sasa na hayo mabilion yanayobebwa na viroba!? The question is who is paying Polepole?
  6. I

    Kingunge kukutana na Wanahabari kesho saa 5 asubuhi Serena Hotel kujibu Mapigo

    CCM itakosa baraka za Wazee kwa kuwaachia vijana kuwadhalilisha Wazee na kuwafumbia macho na wengine kuzawadiwa madaraka. Kumbuka ya Nape dhidi ya Lowasa, Makonda dhidi ya Lowasa, Sofia Simba dhidi ya Malecela na Mke wake na hata Reginald Mengi na sasa UVCCM kina Sixtus Mapunda dhidi ya Mzee...
  7. I

    Mjumbe wa baraza kuu la UVCCM Asenga Aboubakari : Lowassa ananunua watu

    UVCCM msimchonganishe Bashe na El. Bashe hawezi kuongea mambo kama hayo, sababu tu CCM hawakumkata. Bashe ni mtaji wa wananchi wa Nzega si CCM. Huko yuko kama mtoto wa nje. 2010 mlimkata sasa mmeona kuna madhara makubwa mkimkata ndio mnaanza kumBlack mail. Bashe kaa huko ila.....
  8. I

    Updates kutoka Zanzibar: Mkutano wa kumtambulisha Mgombea Urais kwa tiketi ya UKAWA

    Huyu anajibu waraka uliotolewa na UVCCM PWANI kwamba kamwe RAIS HATATOKA KASKAZINI. Hawa vijana (kina Ridhiwani) walitumwa maana hii ni kauli ya Ubaguzi tulitegemea CCM Taifa hususan MwenyeKiti Taifa Mh. J. kikwete angekeemea lakini haikuwa hivyo kwahiyo walitumwa. Kemea CCM kwa Ubaguzi dhidi ya...
  9. I

    Kingunge Ngombale Mwiru avuliwa ukamanda UV-CCM Taifa

    Nyerere alivyosema CCM si Baba yangu wala Mama yangu, Mapunda angekewepo angemfukuza kwenye Chama. Hawa vijana wa mtandao Dotcom hawana adabu. Kingunge, Wazee wa Tanu na waasisi wa CCM waliobaki mnamfukuza!? Nasubiri nimsikie JK atasema nini. UVCCM mnavuka mipaka.
  10. I

    Uzinduzi wa Mradi wa Mabasi yaendayo Kasi(BRT) Dar - Agosti 17, 2015

    Hiyo kampuni ya kuendesha hizo ikarus kumbakumba iko wapi? Huu ni mradi, Tender hazijatangazwa, wafanyakazi hawajaajiriwa, hata barabara zenyewe hazijaisha. Hizi ni Kampeni tu Mwaka huu ni UKAWA tu HADANGANYWI MTU HAPA.
  11. I

    Omary Kimbau ahama CCM na kujiunga CUF

    Karibu Kamanda UKAWA, tulijua tu utafanyiwa umafia ndani ya CCM. Chukua form haraka ugombee kwa niaba ya CUF ndani ya UKAWA jimbo tulichukue. Washirikishe Baba na Mama ikiwezekana nao wahame, kubwa Jimbo sasa uhubiri ni UKAWA si CCM na Rais ajaye ni Lowasa. OK Omary?
  12. I

    Mkinga Leo Star TV anajichanganya mwenyewe akimponda Lowassa

    Mkinga ana kisukari na presha na alipelekwa Apolo India na Serikali ya CCM hivyo lazima awashambulie wapinzani. Wasipoangalia StatTV atajafia studio.
  13. I

    Jinsi meno ya Tembo yalivyopitishwa JNIA

    Ndio sababu iliyomfanya Mheshimiwa Mwakyembe kuhamishwa Wizara hiyo. Angekewepo dili lingetibuka. Mh. Sitta ashalishwa shubiri yuko sambamba na MAFISADI. Mwakyembe aliahamishwa na wauza unga na sasa wachina wamepata advantage na kupitisha mambo yao. Jamani CCM Tembo wataisha!?
  14. I

    Sumaye kutangaza hatima yake kisiasa Jumapili Agosti 16

    Ile kauli iliyotolewa na UVCCM Pwani kama Rais kamwe hatatoka Kaskazini ni ya kibaguzi wa hali ya juu na Viongozi wa CCM waliokemea ni Sumaye na ni Mstaafu walioko madarakani akiwemo Mkiti wa Taifa wa CCM walikuwa kimya kuashiria UVCCM Pwani wako sahihi. Karibu Kamanda Tuvae gwanda tukomboe...
  15. I

    Diana Chilolo, Mbunge Viti Maalum Nusura apate kichapo mbele ya Kikwete mkutano wa NEC

    Baada ya Uchaguzi Mkuu mwaka 1995 wkt Mrema yuko juu kama Lowasa sasa, kulitokea fagia fagia Serikalini na CCM wapambe wote wa Mrema, LEO inaanza mapema fagia fagia ya watu wa Lowasa. Diana Chilolo ni mtu wa karibu sana na EL, ni Kweli Mwigulu alifanya ubabe sana Iramba, dharau kubwa mnamwita...
Back
Top Bottom