Yani Watanzania kwa kukurupuka ni namba moja, ivi Mpanju ni NW kweli? Halafu upo humu JF unachangia nn rudini shule siasa zipo tu haujui kitu piga kimya. Shubamittttt!
Waunguja tuna mpango wa kuitisha kura ya maoni, tuulizane hawa wapemba kama bado tunawahitaji Unguja au waende zao kwao wakaanzishe dola yao kule matangatuwani maana haiwezekani mtu uombe lifti kwenye gari halafu utake kupiga na honi, shida ya Zanzibar ni hawa wageni kutoka Pemba wanaojitia...
Hiyo ni mipasho ya kwenye kanga ukweli ndio huo Paskali kauandika nami kwa uhuru wangu nikampongeza, ila elewa Zanzibar haitakuja kutawaliwa na muarabu tena hilo kaa ujue na usahau. Tupo kwenye maandalizi ya sherehe za mapinduzi matukufu january 12, 1964.
Hahahahahahaha! Nyangomboli, acha izo mm nimecheka hapa ulipouliza umechanganyikiwa na ada za january bro? yaani inaweza kuwa kweli maana ukicheki tarehe zinakaribia na account inaread vibaya lazima mtu povu limtoke namna hii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.