Mkuu unatakiwa ku practice hustling usipende kuishi kimayaiyai, hizo hostel ni Mali ya serikali acheni kulilia.
After all: ratiba imepangwa lakini wakuchagua uingie kipindi kipi ni ww, mfano labda somo ni FE300, Utakuta Kuna FE300 ASUBUHI, FE300 MCHANA, FE300 JIONI, FE300 USKU, kwahyo...
Apange mjn mbona daladala zipo au apange ngh'ongh'ona kijjn
Siyo chuki mkuu, huu muda si wakulilia nyumba za serikali...mabweni ni kwaajili ya first yr na third yr
Nashangaa kuona bado kuna watu Wapo chuo kikuu lakini bado Wana ji-behave kama Wapo secondary.
Tunategemea msomi akitongozwa aamue mwenyewe kwa hiari kukubali/kukataa unless otherwise amebakwa, na akibakwa Kuna taratibu ambazo zipo wazi kabisa ambazo tunaamini msomi yyte anazijua
Msomi aamue...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.