Recent content by instinct desire

  1. instinct desire

    KERO Wanafunzi wa UDOM tukibaki hosteli wakati wa likizo tunalipishwa japo tumeshalipa hela ya makazi

    Kupanga ni life skills, mtu anayepanga ana possibility kubwa ya kujenga nyumba yake
  2. instinct desire

    KERO Wanafunzi wa UDOM tukibaki hosteli wakati wa likizo tunalipishwa japo tumeshalipa hela ya makazi

    Kwahyo hayo masomo ya lazima yameelekezwa kusomwa usku tu, we jamaa unafkri sikusoma chuo...acha ujinga wako
  3. instinct desire

    KERO Wanafunzi wa UDOM tukibaki hosteli wakati wa likizo tunalipishwa japo tumeshalipa hela ya makazi

    Mkuu unatakiwa ku practice hustling usipende kuishi kimayaiyai, hizo hostel ni Mali ya serikali acheni kulilia. After all: ratiba imepangwa lakini wakuchagua uingie kipindi kipi ni ww, mfano labda somo ni FE300, Utakuta Kuna FE300 ASUBUHI, FE300 MCHANA, FE300 JIONI, FE300 USKU, kwahyo...
  4. instinct desire

    KERO Wanafunzi wa UDOM tukibaki hosteli wakati wa likizo tunalipishwa japo tumeshalipa hela ya makazi

    Apange mjn mbona daladala zipo au apange ngh'ongh'ona kijjn Siyo chuki mkuu, huu muda si wakulilia nyumba za serikali...mabweni ni kwaajili ya first yr na third yr
  5. instinct desire

    Wanafunzi wa UDOM mpo chuo kikuu hampo secondary acheni kuandika andika mitandaoni mnatia kinyaa sana

    Nashangaa kuona bado kuna watu Wapo chuo kikuu lakini bado Wana ji-behave kama Wapo secondary. Tunategemea msomi akitongozwa aamue mwenyewe kwa hiari kukubali/kukataa unless otherwise amebakwa, na akibakwa Kuna taratibu ambazo zipo wazi kabisa ambazo tunaamini msomi yyte anazijua Msomi aamue...
  6. instinct desire

    Tundu Lissu ni kama Nyerere, wakati anapigania uhuru watanzania wengi walikuwa wajinga hata alipotetea demokrasia asilimia 20 walimwelewa Nyerere

    Mtu familia imemshinda kulea halafu ndo mnamfananisha na hayati Nyerere hebu acheni ujinga
Back
Top Bottom