Recent content by instinct desire

  1. instinct desire

    JamiiForums Tanzania Natamani kula nyama pori nani mwenye kibali cha kuuza nyama pori kwa hapa Dodoma na anapatika maeneo gani

    🤣🤣🤣Ila nyie wazee wa ToneTone huwa Bangi sana
  2. instinct desire

    JamiiForums Tanzania Natamani kula nyama pori nani mwenye kibali cha kuuza nyama pori kwa hapa Dodoma na anapatika maeneo gani

    Huko mbali sana Labda nikuagize uninunulie then unitumie
  3. instinct desire

    JamiiForums Tanzania Natamani kula nyama pori nani mwenye kibali cha kuuza nyama pori kwa hapa Dodoma na anapatika maeneo gani

    Nimependa sana kula nyama ya nyati, nyumbu au mnyama yyte wa porini kama Kuna mtu anajua wanapouza kwa hapa Dodoma naomba anielekeze.
  4. instinct desire

    JamiiForums Tanzania Maboss wetu makazini, watunga sera na wadau wengine, mna nafasi kubwa ya kutuokoa sisi watumishi tusisitafie kwenye nyumba za serikali

    Mimi leo ndo napata majibu ya kwanini zamani tulikuwa tunaona watu wana-staff hawana nyumba Wala kiwanja licha ya kuwa walikuwa na vyeo vikubwa sana serikalin/private sectors. Baadhi ya Sababu za mtu kushindwa kujenga kipindi cha utumishi ni: • kuwa na boss asiyeamini kwenye uwekezaji wa...
  5. instinct desire

    JamiiForums Tanzania Today is my birthday.... Happy Birthday to me Instinct desire

    Amina 🙏🏼 Shukrani sana
Back
Top Bottom