Wewe haupo serious, nimekwambia wekapicha unasema unatumia nokia tochi, sasa hyo nokia tochi unawezaje kupata net yakutuma tangazo humu?? Kama unashida tafuta cm au tumia hyo pc unayoiuza kuweka pic ili watu tuliopo nje ya dar pia tujiridhishe.
Nahitaji line za uwakala wa tigopesa, mpesa na Airtel money, kwa yeyote mwenyenazo au anamfahamu mwenye nazo na anauza, naomba ani pm. Napatikana mkoa wa morogoro.
Nashukuru Mh. Lema, sikuuona waraka wako wakwanza ila hata mimi nabaadhi ya wenzangu awali kabisa tuliwah kujiuliza y chama tawala kinatakakuleta hofu ya udini? Tunashukuru kwa mawazo yako, cha msingi hapa ni kuweka chama pembeni tujali taifa letu tulinde amani kisha tuendelee na siasa. Wana jf...
Cc humu ndani tunatakiwa tujenge hoja nakukoment mambo yatakayosaidia au kutoa ufumbuzi wa matatzo yanayokabili taifa letu kwasasa, haitusaidii kutukanana au kubaguana. Ninachoamini mimi waislam kwa wakristo sote twahitaji aman.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.