Kila mara nimekuwa nikikutana na bodaboda wakiwa wamebeba watoto wadogo Kati ya miaka 4-6 hivi wakitoka nyumbani kwenda shuleni na wakati wa kurudi pia.
Jambo lililonifanya nikfikirie Sana ni namna bodaboda wanavyowabeba watoto hawa wana wapakiza kwenye Tenki la mafuta ambapo kwangu mimi ni...
Acha kuihalisia wala hata sio Tu Arusha Bali ni sehemu zote wanafunzi wa Journalism na Mass Communication wanapata shida kinoma bila kutoa hiyo hela haupewi nafasi ya kujifunza hapo.
Vijana wengi sana ninaowafahamu walitoa hela kwenye media flani lakini pia wengine walishindwa na hawakupokelewa pia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.