JE UNAFAHAMU? Konokono hana mfupa wowote kwenye mwili wake na pia konokono ni aina ya "Hermaphrodites",
Kwa maana wanamiliki jinsia mbili(kiume na kike). Kwenye kujamiiana wanaviziana, atakaeruhusu kupandwa ndiyo atataga mayai.Huyo ndio konokono:: lakin embu fikiria: binadamu tungekua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.